Baraka Hussein Obama, aapishwa rasmi kuwa rais wa 44 wa Amerika. "Amerika ya pata rais wa kwanza Mwafrika (Mweusi) na ukurasa mpya umefunguliwa, na ndoto imetimia.


Baraka Hussein Obama, aapishwa rasmi kuwa rais wa 44 wa Amerika. "Amerika ya pata rais wa kwanza Mwafrika (Mweusi) na ukurasa mpya umefunguliwa, na ndoto imetimia.


Posted by
Kibatala
at
Tuesday, January 20, 2009
0
comments
Ethiopia ya ondoa majeshi yake nchini Somalia,"Wasiwasi wazidi".
Addis Ababa,Ethiopia-13/01/09. Serikali ya Ethiopia, imetangaza rasmi, jeshi lake lililo kuwa linasaidia kulinda usalama nchini Somalia, limeanza rasmi kuondoka nchini Somalia kuelekea nyumbani.
Kufuatia kuondoka kwa jeshi la Ethiopia,hali ya usalama nchini Somalia imekuwa katika hali ya wasiwasi kwa mujibu wa mmoja wa makzi wa mji wa Mogadishu
Hata hivyo, kuna habari ya kuwa umoja wa Mataifa, upombioni kupitisha mswada wa kupeleka jeshi la kimataifa ili kulinda amani,kwani kuondoka kwa jeshi la Ethiopia, kumeacha majeshi ya Burundi na Uganda kuwa majeshi pekee ambayo yanasaidia kulinda amani kwa serikali ya Somalia.
Waziri mkuu wa zamani wa Uingereza awa na kazi ngumu na mgogoro wa Mashariki ya Kati.
London,Uingereza-13/01/09.Vita vinavyo endelea katia ya Izrael na Palestina,vimeleta utata na kazi kuwa ngumu kwa aliyekuwa waziri mkuu wa Uingereza Tony Brair, ambaye anashughulikia swala la kuleta amani katia ya Waizrael na Wapalestina.
Washington, Amerika-13/01/09.Rais mchaguliwa wa Amerika, Baraka Obama,atatia sahii kufungwa mara moja kwa gereza la Guantanamo Bay, mara baada ya kuapishwa kuwa rais wa Amerika, Gantanamo Bay, imekuwa jela ya kuwafungia watuhumiwa wanao shukiwa kuhusika na ugaidi.
Jerusalem,Israel-13/01/09. Waziri Mkuu wa Izrael, Ehud Olmert, amesema yakuwa alimpigia simu rais George Bush, kuomba Amerika isipige kura kupitisha kura ya kutaka kusimamisha mapigano kati ya Izrael na Palestina.
Doha, Katar-13/01/09. Serikali ya Misri,imekataa kukubaliana na jumuia ya nchi za Kiaarabu kutumia mkutano unao tarajiwa kufanyika mjini Doha,tarehe 18/01/09,kujadiri swala la vita vinavyoendelea katia ya Israel na Palestina.
Posted by
Kibatala
at
Tuesday, January 13, 2009
0
comments
Vyombo vya habari vya nchi za Magharibi zachafua jina la letu"China ya dai"
Beijing,China-08/01/09.Waziri wa mambo ya nje ya China Quin Gang, ameziliaumu nchi za Magharibi kwa kutumia vyombo vya habari kuharibu jina la nchi yake China.
Dakar, Senegal-08/01/09- Watu tisa wamehukumiwa kwenda jela miaka minane, baadada ya kukutwa na hatia ya kuhusika na maswala ya ushoga.Kwa mujibu wa mwanasheria wa watuhumiwa hao,Diadji Diouf.
Brussel,Belgium-08/01/09.Jumuiya ya Ulaya imekuwa na mazungumzo na kampuni ya mafuta ya Urusi Gazprom, ambayo imefunga usambazaji wa gasi katika nchi za jumia ya Ulaya.
Gaza, Ukanda wa Gaza-08/01/09.Shirika la kutoa misaada la Umoja wa Mataifa, limesimamisha misaada yake yote kuelekea eneo la Gaza.
Posted by
Kibatala
at
Thursday, January 08, 2009
0
comments
Accra Ghana -7/01/09. John Atta Mills, mwenye miaka 64, ameapishwa kuwa rais wa Ghana, baada ya kushinda uchaguzi wa urais zidi ya mpinzani wake Nana Akufo Addo.
Gaza,Ukanda wa Gaza - 4/01/09.Vita vinavyo endelea kati ya Israel na Kundi la Hamas, zimefikia hatua ya kugonisha vichwa jumuiya za kimataifa.
Posted by
Kibatala
at
Wednesday, January 07, 2009
0
comments