Kairo, Misri - 28/02/2011. Serikali ya Misri imezua familia ya rais wa zamani wa Misri kusafiri nje ya nchi kufuatia uchunguzi unaoendelea.
Monday, February 28, 2011
Kairo, Misri - 28/02/2011. Serikali ya Misri imezua familia ya rais wa zamani wa Misri kusafiri nje ya nchi kufuatia uchunguzi unaoendelea.
Posted by
Kibatala
at
Monday, February 28, 2011
0
comments
Saturday, February 26, 2011
Umoja wa mataifa kuwekea vikwazo serikali ya Libya.
Umoja wa mataifa kuwekea vikwazo serikali ya Libya.
New York, Marekani - Kamati ya usalama ya umoja wa Mataifa imekutana ili kujadili muswada wa kuiwekea vikwazo serikali ya Libya.
Abidjani, Ivory Coast-26/02/2011. Milio ya risasi imesikika katikati ya jijila Abidjani na kuwafanya wakazi wake kukimbia kwenye maficho huku katibu mkuu wa umoja wa mataifa akionya kuibuka kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo.
Posted by
Kibatala
at
Saturday, February 26, 2011
0
comments
Thursday, February 24, 2011
Rufaa ya mwanzilishi wa WikiLeaks yakataliwa.
Rufaa ya mwanzilishi wa WikiLeaks yakataliwa.
Hague, Holland 24/02/2011. Mahakama ya kimataifa inayoshughulikia kesi za Yugoslavia imemuhukumu aliyekuwa mkuu wa polisi Serb kwa miaka zaidi ya miongo miwili.
Posted by
Kibatala
at
Thursday, February 24, 2011
0
comments
Tuesday, February 22, 2011
Muhammar Gaddafi asema hatoki madarakani
Muhammar Gaddafi asema hatoki madarakani.
Tripol, Libya - 22/02/2011. Rais wa Libya melihutubia taifa la Libya na kusema hataondoka nchi na yupo tayari kufa kwa ajili ya nchi yake.
Moscow, Urussi - 22/02/2011.Rais wa Urusi ameonya ya kuwa mabadiliko ya kisiasa yanatotokea katika nchi za kiarabu yanaweza kuleta athali kubwa.
Posted by
Kibatala
at
Tuesday, February 22, 2011
1 comments
Friday, February 18, 2011
Milipuko yatokea nchini Tanzania
Milipuko yatokea nchini Tanzania
Posted by
Kibatala
at
Friday, February 18, 2011
0
comments
Wednesday, February 16, 2011
Kachero alidanganya kuhusu uwezo wa Saddam Hussein.
Kachero alidanganya kuhusu uwezo wa Saddam Hussein.
Berlin, Ujeruman - 16/02/2011. Wabunge nchini Ujerumani wameonya ya kuwa hunda kachero aliyejulikana kwa jina la Curveball akawekwa kizuizini mara baada ya kusema ya kuwa alidanganya.
Posted by
Kibatala
at
Wednesday, February 16, 2011
0
comments
Monday, February 14, 2011
Wasafiri wa anga wapata chombo kipya.
Wasafiri wa anga wapata chombo kipya.
Posted by
Kibatala
at
Monday, February 14, 2011
0
comments
Sunday, February 13, 2011
Rais wa zamani wa Pakistani ashitakiwa.
Kiongozi wa Palestina ajiudhulu kazi yake.
Ramallah, Palestine - 13/02/2011. Msemaji mkuu wa serikali ya Wapalestine amejiudhulu katika kazi yake baada ya habari zilizo patikana kwenye vyombo vya habari zimetokea kwenye ofisi yake.
Saeb Erakat, ambaye amekuwa msemaji mkuu wa serikali ya Wapalestina kwa muda mrefu, amekuwa akiandamwa na mlolongo wa lawama ya kuwa amekuwa hafanya kama anavyotakiwa hasa katika majadiliano ya kuleta amani na Waizrael.
Habari ambazo zilipatikana kwenye vyombo vya habari hivi karibuni zimeonyesha jinsi gani viongozi wa Palestina wanavyo jadiliana katika majadiliano ya amani na Waizrael ambayo yamesimama kutokana na tofauti za misimamo.
Rais wa zamani wa Pakistani ashitakiwa.
Posted by
Kibatala
at
Sunday, February 13, 2011
0
comments
Saturday, February 12, 2011
Rais wa Misri Hosni Mubaraka ajiudhuru urais.
Rais wa Misri Hosni Mubaraka ajiudhuru urais.
Kairo, Misri - 12/02/2011. Sherehe, shangwe vigeregere vilivyo andamana na vilio vilisikika nchi zima mara baada ya makamu wa rais wa Misri Omar Suleiman kutangaza ya kuwa rais Hosni Mubaraka amejiudhuru na kukabidhi madaraka mikononi mwa jeshi.
Posted by
Kibatala
at
Saturday, February 12, 2011
0
comments
Wednesday, February 9, 2011
Wakili wa Charles Taylor aondoka mahakamani.
Wakili wa Charles Taylor aondoka mahamani.
Posted by
Kibatala
at
Wednesday, February 09, 2011
0
comments
Saturday, February 5, 2011
Thamani ya Euro kuimarishwa kwa kila hali.
Thamani ya Euro kuimarishwa kwa kila hali.
Brussels, Ubelgiji 05/02/2011. Mkutano wa viongozi wa jumiya ya Ulaya umeamua kuahakikisha thamani ya pesa ya Uero in tengemaa.
Kairo, Misri -05/02/2011. Waandamanaji nchini Misri bado wanashikiria haja yao kutaka rais sasa kutoka madarakani.
Posted by
Kibatala
at
Saturday, February 05, 2011
0
comments
Wednesday, February 2, 2011
Rais Mubaraka kutogombania urais tena.
Rais Mubaraka kutogambinia urais tena.
Posted by
Kibatala
at
Wednesday, February 02, 2011
0
comments
Tuesday, February 1, 2011
John Kerry ataka rais wa Misri kuachia madaraka.
New York, Marekani - 01/02/2011. Mbuge na kiongozi muhimi katika chama cha Demokratik cha Marekani amemtaka rais wa Misri kujiudhuru.
Posted by
Kibatala
at
Tuesday, February 01, 2011
0
comments

