

Adis Abeba, Ethiopia - 30/06/2011.Umoja wa nchi za Kiafrika umeitaka serikali ya Ufaransa kuto dondosha na kusambaza siraha holera kwani kunaweza sababisha madhara makubwa hasa katika maswala ya usalama katika eneo hilo.

Adis Abeba, Ethiopia - 30/06/2011.Umoja wa nchi za Kiafrika umeitaka serikali ya Ufaransa kuto dondosha na kusambaza siraha holera kwani kunaweza sababisha madhara makubwa hasa katika maswala ya usalama katika eneo hilo.
Posted by
Kibatala
at
Thursday, June 30, 2011
1 comments
Posted by
Kibatala
at
Tuesday, June 28, 2011
0
comments
Hague, Uhollanzi - 27/07/2011. Mahakama ya makosa ya jinai na kutetea haki za binadamu nchini Uhollanzi imetoa kibali maalumu cha kutaka kiongozi wa Libya, mtoto wake wa kiume na afisa mkuu wa usalama wa taifa wakamatwe.
Posted by
Kibatala
at
Monday, June 27, 2011
0
comments
Posted by
Kibatala
at
Thursday, June 23, 2011
0
comments
Posted by
Kibatala
at
Wednesday, June 22, 2011
0
comments
Balttimore, Marekani - 19/06/2011. Mameya wa miji ya nchini Marekani wamekutana katika mji wa Baltimore na kulitaka bunge la nchi yao kupitisha mswada wa serikali kusimamisha vita nchini Afghanistan na Irak ambavyo vinaitia hasara taifa kifedha na kijamii.
Posted by
Kibatala
at
Sunday, June 19, 2011
1 comments

Posted by
Kibatala
at
Saturday, June 18, 2011
0
comments
Posted by
Kibatala
at
Friday, June 17, 2011
0
comments
Islamabad, Pakistan- 16/06/2011. Kundi la Al Qaida limemteua aliyekuwa makamu wa kundi hilo kuwa kioongozi mkuu wa kundi hili kufauatia kifo cha kiongozi wao hivi karibuni
Helsink, Finland - 16/06/2011. Shirika la utengenezaji wasimu za aina ya Nokia lenye makao yake makuu nchini Finland limeshinda kesi zidi shirika la Apple mpinzani wake mkuu katika kuuza na kutengeneza simu la Apple.
Posted by
Kibatala
at
Thursday, June 16, 2011
0
comments

Posted by
Kibatala
at
Sunday, June 12, 2011
0
comments


Posted by
Kibatala
at
Friday, June 10, 2011
0
comments
Posted by
Kibatala
at
Friday, June 03, 2011
1 comments
Hague, Uhollanzi -01/06/2011.Aliyekuwa mkuu wa majeshi wa Bosnia Serbia ambaye anashutumiwa kwa kuhusika na mauaji yaliyo tokea wakati wa vita 1992-95 nchini humo amewasilishwa kwenye mahakama ya kutetea haki za binadamu ili kujibu mashitaka yanayo mkabili.
Posted by
Kibatala
at
Wednesday, June 01, 2011
0
comments