Iceland yasumbua vichwa vya wafadhili wake.
Monday, April 11, 2011
Iceland yasumbua vichwa vya wafadhili wake.
Posted by
Kibatala
at
Monday, April 11, 2011
0
comments
Thursday, April 7, 2011
Mahakama ya Hague yaanza kesi za machafuko ya Kenya.
Mahakama ya Hague yaanza kusikiliza kesi za machafuko ya Kenya.
Tokyo, Japan -07/04/2011. Tetemeo kubwa la ardhi limeikumba tena Japan baada ya tetemeko la kwanza ambalo limeleta maafa makubwa.
Posted by
Kibatala
at
Thursday, April 07, 2011
1 comments
Wednesday, April 6, 2011
Uingereza ya kubali baadhi makosa.
Uingereza ya kubali baadhi ya makosa.
Posted by
Kibatala
at
Wednesday, April 06, 2011
1 comments
Tuesday, April 5, 2011
Mke wa Ratko Maladic aiambia mahakama mume wake huenda amefariki.
Mke wa Ratko Mladic aiambia mahakama mume wake huenda amefariki.
Belgrade,Serbia - 05/04/2011. Mke wa aliyekuwa kiongozi kivita vilivyo tokea nchi za Balkan amefikishwa mahakani ili kujibu mashitaka ya kukutwa na siraha. Bosijlika Mladik, ambaye alifikishwa mahakamani, aliiambia mahakama ya kuwa siraha hizo ziliwekwa na mumewe na aliwazuia kugusa kabati hilo.
Port-au-Price, Haiti 05/04/2011.Matokeo ya uchaguzi nchi Haiti yametangazwa na aliyekuwa mwanamusiki maharufu nchini humo kushinda katika kiti cha kugombania uchaguzi wa rais.
Posted by
Kibatala
at
Tuesday, April 05, 2011
1 comments
Sunday, April 3, 2011
Mahaka ya kimataifa yakataa kesi iliyofunguliwa na Georgia.
Mahakama ya kimataifa yakataa kesi iliyo funguliwa na Georgia.
Hague, Uhollanzi - 03/04/2011. Mahakama ya kimataifa ya umoja wa mataifa imekataa kesi iliyo letwa na serikali ya Georgia zidi ya Russia.
Habari kutoka mahakama hiyo zinasema " mahakama haiwezi kuendelea na kesi kutokana na baadhi ya mazungumzo haya kufanyika na kuchunguzwa."
Kesi hiyo ulifunguliwa na serikali ya Georgia baada ya jeshi la Urussi kuivamia Georgia ili kuzuia mauaji dhidi ya wakazi wa Abkhazia na Kusini Ossetia.
Posted by
Kibatala
at
Sunday, April 03, 2011
0
comments
Friday, April 1, 2011
Wafanyakazi wa Umoja wa mataifa wavamiwa.
Wafanyakazi wa Umoja wa mataifa wavamiwa.
Mazar-el-Sharif, Afghanistan -01/04/2011. Ofisi za umoja wa mataifa nchini Afghanistan zimevamiwa na waandamanaji ambao walikuwa wanapinaga kitendo cha mchungaji mmoja kuchoma Kuraan.
Posted by
Kibatala
at
Friday, April 01, 2011
0
comments
Wednesday, March 30, 2011
Rais wa Syria ahutubia wananchi baada ya maandamano.
Rais wa Syria ahutubia na wanachi baada ya maandamano.
Syria, Damascus - 30/03/2011. Rais wa Syria amelihutubia taifa siku kadhaa baada maandamano yaliyo fanyika nchini humo kutaka mageuzi.
Posted by
Kibatala
at
Wednesday, March 30, 2011
0
comments
Tuesday, March 29, 2011
Viongozi wakutana kujadili hali halisi ya Libya.
Viongozi wakutana kujadili hali halisi ya Libya.
Posted by
Kibatala
at
Tuesday, March 29, 2011
1 comments
Friday, March 25, 2011
NATO kuongoza mapambano zidi ya Libya.
NATO kuongoza mapambano zidi ya Libya.
Daraa, Syria - 25/03/2011. Maafias wa usalama nchini Syria wamewashambulia waandamanaji ambao wanataka serikali ifanya mageuzi ya kisiasa.
Posted by
Kibatala
at
Friday, March 25, 2011
0
comments
Wednesday, March 23, 2011
Jerusalem ya kutwa na mlipuko wa bomu.
Jerusalemu ya kutwa na mlipuko wa bomu.
Posted by
Kibatala
at
Wednesday, March 23, 2011
0
comments
Monday, March 21, 2011
Vladmil Putin alaani mashambulizi zidi ya LIbya.
Vladmil Putin alaani mashambulizi zidi ya Libya.
Moscow, Urussi 21/03/2011. Waziri mkuu wa Urussi amezilaumu nchi za magharibi kwa kitendo chake cha kuishambulia Libya.
Posted by
Kibatala
at
Monday, March 21, 2011
1 comments
Sunday, March 20, 2011
Mashambulizi nchini Libya ya zidi kupamba moto.
Mashambulizi nchini Libya ya zidi kupamba moto.
Paris, Ufaransa - 20/03/20. Jeshi la Ufaransa kwa kushirikiana na washiriki wake wanaenedelea na mashambulizi kwa kutumia jeshi la anga ilikuzuia jeshi la Muammar Gaddafi.
Posted by
Kibatala
at
Sunday, March 20, 2011
0
comments
Monday, March 14, 2011
Saudu na washirki wake wavamia Bahrain.
Saudia na washiriki wake wavamia Bahrain.
Posted by
Kibatala
at
Monday, March 14, 2011
0
comments
Thursday, March 10, 2011
Dalai Lama kuachia madaraka hivi karibuni.
Dalai Lama kuachia madaraka hivi karibuni.
Dharamshala,India - 10/03/2011.Kiongozi wa kiimani ambaye ni mzaliwa wa himaya za Tibeti ametangaza atajiudhulu maswala yote ya kisiasa.
Paris, Ufaransa - 10/03/2011. Serikali ya Ufaransa imekuwa nchi ya kwanza kuitambua serikali ya upinzani inayo mpinga kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi.
Posted by
Kibatala
at
Thursday, March 10, 2011
0
comments
Saturday, March 5, 2011
Waganda waombeleza kutokwa na kiongozi wao.
Waganda waombeleza kutokwa na kiongozi wao
Posted by
Kibatala
at
Saturday, March 05, 2011
0
comments
Monday, February 28, 2011
Kairo, Misri - 28/02/2011. Serikali ya Misri imezua familia ya rais wa zamani wa Misri kusafiri nje ya nchi kufuatia uchunguzi unaoendelea.
Posted by
Kibatala
at
Monday, February 28, 2011
0
comments
Saturday, February 26, 2011
Umoja wa mataifa kuwekea vikwazo serikali ya Libya.
Umoja wa mataifa kuwekea vikwazo serikali ya Libya.
New York, Marekani - Kamati ya usalama ya umoja wa Mataifa imekutana ili kujadili muswada wa kuiwekea vikwazo serikali ya Libya.
Abidjani, Ivory Coast-26/02/2011. Milio ya risasi imesikika katikati ya jijila Abidjani na kuwafanya wakazi wake kukimbia kwenye maficho huku katibu mkuu wa umoja wa mataifa akionya kuibuka kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo.
Posted by
Kibatala
at
Saturday, February 26, 2011
0
comments
Thursday, February 24, 2011
Rufaa ya mwanzilishi wa WikiLeaks yakataliwa.
Rufaa ya mwanzilishi wa WikiLeaks yakataliwa.
Hague, Holland 24/02/2011. Mahakama ya kimataifa inayoshughulikia kesi za Yugoslavia imemuhukumu aliyekuwa mkuu wa polisi Serb kwa miaka zaidi ya miongo miwili.
Posted by
Kibatala
at
Thursday, February 24, 2011
0
comments
Tuesday, February 22, 2011
Muhammar Gaddafi asema hatoki madarakani
Muhammar Gaddafi asema hatoki madarakani.
Tripol, Libya - 22/02/2011. Rais wa Libya melihutubia taifa la Libya na kusema hataondoka nchi na yupo tayari kufa kwa ajili ya nchi yake.
Moscow, Urussi - 22/02/2011.Rais wa Urusi ameonya ya kuwa mabadiliko ya kisiasa yanatotokea katika nchi za kiarabu yanaweza kuleta athali kubwa.
Posted by
Kibatala
at
Tuesday, February 22, 2011
1 comments
Friday, February 18, 2011
Milipuko yatokea nchini Tanzania
Milipuko yatokea nchini Tanzania
Posted by
Kibatala
at
Friday, February 18, 2011
0
comments
Wednesday, February 16, 2011
Kachero alidanganya kuhusu uwezo wa Saddam Hussein.
Kachero alidanganya kuhusu uwezo wa Saddam Hussein.
Berlin, Ujeruman - 16/02/2011. Wabunge nchini Ujerumani wameonya ya kuwa hunda kachero aliyejulikana kwa jina la Curveball akawekwa kizuizini mara baada ya kusema ya kuwa alidanganya.
Posted by
Kibatala
at
Wednesday, February 16, 2011
0
comments
Monday, February 14, 2011
Wasafiri wa anga wapata chombo kipya.
Wasafiri wa anga wapata chombo kipya.
Posted by
Kibatala
at
Monday, February 14, 2011
0
comments
Sunday, February 13, 2011
Rais wa zamani wa Pakistani ashitakiwa.
Kiongozi wa Palestina ajiudhulu kazi yake.
Ramallah, Palestine - 13/02/2011. Msemaji mkuu wa serikali ya Wapalestine amejiudhulu katika kazi yake baada ya habari zilizo patikana kwenye vyombo vya habari zimetokea kwenye ofisi yake.
Saeb Erakat, ambaye amekuwa msemaji mkuu wa serikali ya Wapalestina kwa muda mrefu, amekuwa akiandamwa na mlolongo wa lawama ya kuwa amekuwa hafanya kama anavyotakiwa hasa katika majadiliano ya kuleta amani na Waizrael.
Habari ambazo zilipatikana kwenye vyombo vya habari hivi karibuni zimeonyesha jinsi gani viongozi wa Palestina wanavyo jadiliana katika majadiliano ya amani na Waizrael ambayo yamesimama kutokana na tofauti za misimamo.
Rais wa zamani wa Pakistani ashitakiwa.
Posted by
Kibatala
at
Sunday, February 13, 2011
0
comments
Saturday, February 12, 2011
Rais wa Misri Hosni Mubaraka ajiudhuru urais.
Rais wa Misri Hosni Mubaraka ajiudhuru urais.
Kairo, Misri - 12/02/2011. Sherehe, shangwe vigeregere vilivyo andamana na vilio vilisikika nchi zima mara baada ya makamu wa rais wa Misri Omar Suleiman kutangaza ya kuwa rais Hosni Mubaraka amejiudhuru na kukabidhi madaraka mikononi mwa jeshi.
Posted by
Kibatala
at
Saturday, February 12, 2011
0
comments
Wednesday, February 9, 2011
Wakili wa Charles Taylor aondoka mahakamani.
Wakili wa Charles Taylor aondoka mahamani.
Posted by
Kibatala
at
Wednesday, February 09, 2011
0
comments
Saturday, February 5, 2011
Thamani ya Euro kuimarishwa kwa kila hali.
Thamani ya Euro kuimarishwa kwa kila hali.
Brussels, Ubelgiji 05/02/2011. Mkutano wa viongozi wa jumiya ya Ulaya umeamua kuahakikisha thamani ya pesa ya Uero in tengemaa.
Kairo, Misri -05/02/2011. Waandamanaji nchini Misri bado wanashikiria haja yao kutaka rais sasa kutoka madarakani.
Posted by
Kibatala
at
Saturday, February 05, 2011
0
comments
Wednesday, February 2, 2011
Rais Mubaraka kutogombania urais tena.
Rais Mubaraka kutogambinia urais tena.
Posted by
Kibatala
at
Wednesday, February 02, 2011
0
comments
Tuesday, February 1, 2011
John Kerry ataka rais wa Misri kuachia madaraka.
New York, Marekani - 01/02/2011. Mbuge na kiongozi muhimi katika chama cha Demokratik cha Marekani amemtaka rais wa Misri kujiudhuru.
Posted by
Kibatala
at
Tuesday, February 01, 2011
0
comments

