Posted by
Kibatala
at
Sunday, July 03, 2011
0
comments




Posted by
Kibatala
at
Friday, July 01, 2011
0
comments


Adis Abeba, Ethiopia - 30/06/2011.Umoja wa nchi za Kiafrika umeitaka serikali ya Ufaransa kuto dondosha na kusambaza siraha holera kwani kunaweza sababisha madhara makubwa hasa katika maswala ya usalama katika eneo hilo.
Posted by
Kibatala
at
Thursday, June 30, 2011
1 comments
Posted by
Kibatala
at
Tuesday, June 28, 2011
0
comments
Hague, Uhollanzi - 27/07/2011. Mahakama ya makosa ya jinai na kutetea haki za binadamu nchini Uhollanzi imetoa kibali maalumu cha kutaka kiongozi wa Libya, mtoto wake wa kiume na afisa mkuu wa usalama wa taifa wakamatwe.
Posted by
Kibatala
at
Monday, June 27, 2011
0
comments
Posted by
Kibatala
at
Thursday, June 23, 2011
0
comments
Posted by
Kibatala
at
Wednesday, June 22, 2011
0
comments
Balttimore, Marekani - 19/06/2011. Mameya wa miji ya nchini Marekani wamekutana katika mji wa Baltimore na kulitaka bunge la nchi yao kupitisha mswada wa serikali kusimamisha vita nchini Afghanistan na Irak ambavyo vinaitia hasara taifa kifedha na kijamii.
Posted by
Kibatala
at
Sunday, June 19, 2011
1 comments

Posted by
Kibatala
at
Saturday, June 18, 2011
0
comments
Posted by
Kibatala
at
Friday, June 17, 2011
0
comments
Islamabad, Pakistan- 16/06/2011. Kundi la Al Qaida limemteua aliyekuwa makamu wa kundi hilo kuwa kioongozi mkuu wa kundi hili kufauatia kifo cha kiongozi wao hivi karibuni
Helsink, Finland - 16/06/2011. Shirika la utengenezaji wasimu za aina ya Nokia lenye makao yake makuu nchini Finland limeshinda kesi zidi shirika la Apple mpinzani wake mkuu katika kuuza na kutengeneza simu la Apple.
Posted by
Kibatala
at
Thursday, June 16, 2011
0
comments

Posted by
Kibatala
at
Sunday, June 12, 2011
0
comments


Posted by
Kibatala
at
Friday, June 10, 2011
0
comments
Posted by
Kibatala
at
Friday, June 03, 2011
1 comments
Hague, Uhollanzi -01/06/2011.Aliyekuwa mkuu wa majeshi wa Bosnia Serbia ambaye anashutumiwa kwa kuhusika na mauaji yaliyo tokea wakati wa vita 1992-95 nchini humo amewasilishwa kwenye mahakama ya kutetea haki za binadamu ili kujibu mashitaka yanayo mkabili.
Posted by
Kibatala
at
Wednesday, June 01, 2011
0
comments
Posted by
Kibatala
at
Tuesday, May 31, 2011
0
comments
Posted by
Kibatala
at
Monday, May 30, 2011
0
comments
Deauville, Ufransa - 26/05/2011. Viongozi na wakuu wa serikali wa kundi lijulikanalo kama G8 wamekutana nchi Ufaransa ili kujadili hali halisi ya mwenendo wa kiuchumi na kidemokrasia duniani.
Wakihutubia nini la kufanya ili kuimarisha uchumi dunia na kuunga mkono mageuzi ya kisiasa duniani, viongozi na wakuu hao wamehaidi kutoa misaada tofauti kwa nchi tofauti kwa kuzingatia hali halisi za nchi hizo na kuhaidi kushirikiana kiuchumi kwa karibu.
Vile vile viongozi hao walijadiliana kuhusu machafuko na vita vinavyoendela Libya jambo ambalo linapingwa na baadhi ya viongozi wanao udhuria mkutano huo wa G8 na mageuzi ya nayo endelea katika nchi za Kiarabu.
Posted by
Kibatala
at
Thursday, May 26, 2011
0
comments
Belgradi, Serbia- 26/05/2011. Serikali ya Serbia imetangaza kukumatwa kwa aliyekuwa mkuu wa jeshi Bosnia Serbi ambaye anakabiliwa na mashitaka ya mauaji wakati wa vita vilivyo tokea mwaka 1992-95.
Generali Ratko Mladic ambaye alikuwa natafutwa ili ajibu amshitaka dhidi yake, alipotea mara baada ya kesi dhidi yake kufunguliwa na mahakama ya kimataifa.
Akitangaza kuhusu kukumatwa huko, rais wa Serbia Boris Tadic alisema "kwaniaba ya wanchi wa Serbia napenda kuwatangazia ya kuwa Ratko Mladic amekamatwa, na kuanzia sasa tunafungua kitabu kipya ambacho kitatuwezesha kusamehena na kukubaliana kuishi pamoja."
"Na tunahaidi wale wote wafanyao mabaya lazima watajibu mashitaka"alimalizia kwa kusema haya rais wa Serbia
Kwa mujibu wa habari zilizo patikana zinasema "Ratko Mladic hakuwa na matata au kuleta kipingamizi wakati wakukamatwa kwake na inasemekana anamatatizo katika moja ya mkono wake."
Posted by
Kibatala
at
Thursday, May 26, 2011
0
comments