Tuesday, April 2, 2013

Wavenezuela kuchagua upya baada ya Chavez.

Karaca , Venezula - 02/04/2013. Viongozi wa wanao gombania kuwania kiti cha urai wa Venezuela kilicho achwa wazi na hayati Hugo Chavez wameanza kampeni za uchaguzi ili kuongoza nchi yao.
Nikolas Maduro ambaye nimgombea wa chama tawala na aliye pewa baraka na Hugo Chavez kugombe kiti cha urais kabla ya kifo chake, anatarajiwa kuwa na wakati mgumu kumpiku kiongozi wa chama cha upinzani Henrique Kapriles ambaye alishindwa Hugo Chavez  wakati wa uchaguzi wa kwanza wa urais. Tangu kifo cha Hugo Chavez kumekuwa na maoni tofuti juu ya nani atashinda kiti hicho cha urais nchini Venezuela.

Korea ya Kaskazini ya zidi kuwa kichwa ngumu.

 Pyongyang, Korea ya Kaskazini - 02-03-2013. Serikali ya Korea ya Kaskazini imetangaza kufungua kinu chake cha kinyuklia ambacho ilikuwa imekifunga hapo awali.
Kwa mujibu wa habari kutoka serikali ya Korea ya Kaskazini zinasema " tunaamua kufungua kinu hicho  kwani kitawasaidia katika miradi ya umeme."
Uamuzi wa huo wa Korea ya kaskazini kufungua kinu hicho walichokifunga mwaka 2007, umekuja huku kuna hali kutishiana kivita kati yake na Korea ya Kusini.
Hata hivyo Korea ya Kusini imesema ikiwa itashambuliwa na Korea ya Kaskazini itajibu mashambulizi hayo.

4 comments:

Anonymous said...

geotorelxzp consolidate debt
credit card debt help

Anonymous said...

You сan purchase thе blackberry S II - which is believed tο be the first ever Anԁroiԁ-powered smart media
playеr.

Feel free tο surf to my web page ... http://diendan.tienkiem.net/entry.php?b=40566

Anonymous said...

Any review of the blackberгy S has some limitatіоns, or feel thаt
you're missing out on the full experience. One of the much awaited touchless gesture technology which was supposed to be your flagship phone this year?

Feel free to visit my webpage: cleanroomforum.com

Anonymous said...

How much difficulty could it be to publish a wordpress theme to fit into
an existing site?

Look at my blog post ... vaginal mesh lawsuit