Nitarudi kuonyesha uwezo wangu muda si mrefu"Asema aliye kuwa nyota wa soka wa dunia mara tatu".
Wednesday, September 24, 2008
Israel yapata waziri mkuu mpya"Ni mwanamke wa kwanza kuwa waziri mkuu".
Posted by Kibatala at Wednesday, September 24, 2008 0 comments
Saturday, September 20, 2008
Rais, Thabo Mbeki, akubali kung'atuka madarakani"ANC yashinikiza"
Bi,Oprah Winfrey, akonga nyoyo za wanamama na wasichana nchini Saudi Arabia.
Posted by Kibatala at Saturday, September 20, 2008 0 comments
Wednesday, September 17, 2008
Biashara za hisa zapigwa na tetemeko la ukwasi.
Baba wa Kiafrika, aonyesha uwezo wake, "sitoi taraka kwa wake zangu"Hii ni baraka.
Posted by Kibatala at Wednesday, September 17, 2008 0 comments
Friday, September 12, 2008
Putin aonya nchi za Ulaya Magharibi, kukubali Amerika kuweka mitambo yake ya kivita.
Moto wasababisha usafiri kuwa mgumu kwa wakazi wa Ulaya watumiao daraja.
Posted by Kibatala at Friday, September 12, 2008 0 comments
Wednesday, September 10, 2008
Urusi ya aidi kutoa majeshi yake nchini Georgia" Yataka vikwazo zidi ya Georgia"
Waziri mkuu apoteza kibarua cha uongozi wa nchi "Chaota majani" , kazi ya zamani yawa chanzo".
Posted by Kibatala at Wednesday, September 10, 2008 1 comments
Saturday, September 6, 2008
Rais wa Bolivia atembelea Iran.
Afrika ya Kusini na Venezuela za endeleza huusiano"Watiliana mkataba wa kimaendeleo" Pretoria,Afrika ya Kusini-2/09/08.Serikali ya Afrika ya Kusini na serikali ya Venezuela, zimetiliana sahii mkataba wa kiushirikiano katika nyanja za kiuchumi na viwanda na hasa mafuta na gesi. Mkataba huu ulisainiwa wakati rais, Hugo Charvez, alipo tembelea nchini Afrika ya Kusini, Rais, Charvez, alitoa mwanya kwa wananchi wa Afrika ya Kusini kuweka vitega uchumi nchini Venezuela. Picha hapo juu, wanaonekana rais, Thabo Mbeki na Hugo Charvez ,wakielekea kwenye ofisi za Ikulu ya serikali ya Afrika ya Kusini mjini Pretoria, mara baada ya rais Charvez alipo wasili nchini Afrika ya Kusini.
Posted by Kibatala at Saturday, September 06, 2008 0 comments