Wairak wavutana kuongezewa muda kwa jeshi la Amerika.
Wednesday, November 26, 2008
Maendeleo ya China yawa kitendawili kwa dunia"Usili ndiyo kikwazo"
Posted by Kibatala at Wednesday, November 26, 2008 0 comments
Thursday, November 20, 2008
Syria na Uingereza zafanya mazungumzo ya kiserikali.
Umoja wa mataifa wa pitisha azimio la kupeleka majeshi ya kulinda amani Kongo. Goma, Kongo-20/11/08. Umoja wa mataifa umekubaliana kwa kwapoja kupeleka majeshi ya jumuia hiyo wa wanajeshi wapatao 3100. Uamuzi huo wa kutuma majeshi ya umoja wa matifa umekuja sambamba na uamuzi wa jeshi la upinzani linalo pinga na serikali ya Kongo na linaongozwa na Laurant Nkunda, kusimamisha mapigano. Akiongea hayo, balozi wa Uingereza kwenye umoja wa mataifa, John Sawers, alisema nchi 15 zimekubaliana kwa pamoja kutoa mchango wake. Picha hapo juu wanaonekana wananchi wakiwa wamezingirwa na moshi katika moja ya kambi ya kikimbizi , mmoja ya watu walio kimbia vita alisema "hii yote imeletwa na vita vilivyo tokea hapa nchini kwetu (Kongo ) na kuleta maafa makubwa kwa jamii yetu. Syria na Uingereza zafanya mazungumzo ya kiserikali. Damascus,Syria-19/11/08. Waziri wa mambo ya nje wa Uingereza David Miliband,amefanya ziara ya kiserikali nchini Syria na kuongea na rais Bashar al Assad. Ziara hii ni ya kwanza ya kiongozi wa serikali ya Uingereza tangu mwaka 2000. Kukutana kwa viongozi hawa huenda kukarudisha uhusiano wa serikali hizi ambao umekuwa na mvutano kwa kipindi kilefu. Picha hapo juu wanaonekana, rais wa Syria, Bashar al Assad, akiongea na waziri wa mambo ya nje wa Uingereza David Miliband, walipo kutana hivi karibuni mjini Damascus. Jaji atoa amri washitakiwe waachiwe huru"Hakuna ushaidi ". Guantanamo Bay, Kuba-20/11/08.Jaji Richard Leon,ameagiza ya kuwa washitakiwa watano wanao tokea Algeria na wanaoshikiliwa katika jela ya Guantanamo Bay waachiliwe kwani kukamatwa kwao ni kinyume cha sheria. Jaji, Richard Leon, alisema ya kuwa hakuna ushahidi kalimi wa kuwahusisha watu hao watano, yakuwa walikuwa na mpango wa kwenda Afghanistani ili kupigana na jeshi la Amerika na washiriki wake. Watu hao watano walikamatwa Bosnia Hercegovina mwaka 2001, tangu mwaka huo wamekuwa chini ya ulinzi katika jela ya Gwantanamo Bay.
Posted by Kibatala at Thursday, November 20, 2008 0 comments
Matumaini ya kumpata, Baraka Obama, mwingine bara la Ulaya yapo"Asema mbuge"
Matumaini ya kumpata, Baraka Obama mwingine bara la Ulaya yapo"Asema mbunge".
Posted by Kibatala at Thursday, November 20, 2008 0 comments
Monday, November 10, 2008
Mama Afrika,MIRIAM MAKEBA,atutoka, atuko naye tena"MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALI PEMA PEPONI, AMINA
Mama Afrika, MIRIAM MAKEBA, atutoka, atuko naye tena"MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALI PEMA PEPONI, AMINA".
Posted by Kibatala at Monday, November 10, 2008 0 comments
Sunday, November 9, 2008
Mgogoro wa mashariki ya kati( Palestina na Izrael) bado kitendawili"Niwakati mgumu asema bi,Condeleeza Rice"
Bara la Afrika lajianda na mapokezi ya Papa Benedict XVI mwaka 2009.
Vatican City, Vatican,09/11/08. Papa Benedict XVI, anatarajiwa kufanya ziara katika bara la Afrika mapema mwakani. Kwa mujibu wa msemaji wa Vatican, Papa Benedict XVI,atafanya ziara hii ikiwa moja ya maandalizi ya mkutano na maaskofu kutoka bara la Afrika, utakao fanyika mwezi wa Oktoba 2009. Kwa mijibu wa msemaji huyo, alisema yakuwa Papa, atafanya ziara katika nchi za Angola na Kamerooni. Kamerooni itaandaa mkutano utakao wajumuisha viongozi Afrika wa kanisa Katoliki. Picha hapo juu ni ya Papa Benedict XVI,ambaye anatarajiwa kufanya ziara katika bara la Afrika mapema mwaka wa 2009.
Mgogo wa mashatiki ya kati(Palestina na Izrael) bado kitendawili"Niwakati mgumu asema Condelleza Rice". Sharm el Sheikh, Misri- 09/11/08. Katibu mkuu wa umoja wa mataifa amesisitiza na kuziagiza jumuia ya Ulaya, Urusi na Amerika na kwa kushirikiana na Umoja wa mataifa,zijitahidi kutatua mgogoro wa mashariki ya kati, ambao ni kati ya Palestina na Izrael. Akisisitiza hayo, waziri wa mambo ya nje wa Amerika, bi ,Condeleezza Rice, amesema ya kuwa makubaliano ya kutimiza mkataba wa kuwa na Palestina huru yamekuwa magumu kwa kuzingatia kwa sasa nchini Israel kunatarajiwa kufanyika uchaguzi mwezi wa februari, na kufanya makubaliliano hayo kuwa finyu kwa sasa. Bi Rice, aliongezea kwa kusema yakuwa, serikali mpya inayo kuja ya rais baraka Obama, itakabidhiwa kazi hii. Picha hapo juu anaonekana waziri wa mambo ya nje wa Amerika Condeleeza Rice kushoto akiwa na badhi ya viongozi waliokuja kuuzuria mkutano wa kutafuta kutatua mgogoro wa mashariki ya kati mjini Shrm el Sheikh. Rais wa zamani wa Sudan afariki dunia. Khartoum, Sudan-5/11/08. Aliyekuwa rais wa Sudana Ahmed al Mighani amefariki dunia, akiwa nchini Misri. Rais Ahmed al Mighani,alichaguliwa kuwa rais wa Sudani mwaka 1986 hadi alipo tolewa madaraka na na jeshi lili ongozwa na rais wa sasa, Omar El Bashir mwaka 1989. Akiongeaha yaha kuthibitisha kifao chake, msemaji wa serikali ya Sudani, alisema yakuwa,mija ya watu wakwanza kutoa rambi rambi ni rais wa sasa wa Sudan Omar el Bashir. Picha hapo juu ni bendera ya Sudani, nchi ambayo rais Ahmed al Mighani, aliiongoza kwa muda wa miaka minne kabla ya kutolewa madarakani kwa nguvu za kijeshi.Posted by Kibatala at Sunday, November 09, 2008 0 comments
Thursday, November 6, 2008
Demokrasi yaleta historia.
Demokrasi yaleta historia nchini Amerika, Baraka Obama, mwafrika wa kwanza kuwa rais wa Amerika.
Posted by Kibatala at Thursday, November 06, 2008 0 comments