Mizigo inayo sadikiwa kuwa na bomu yapatikana. Dubai, UAE - 30/10/2010. Makachero wa UAE na makachero wa kimataifa wa nchi za Uingereza na Amerika wamefanikiwa kuukamata mizigo ambao inasadikiwa ilikuwa ndani ya ndege tayari kuelekea Amerika. Kwa mujibu wa habari zilizo patikana zinasema "mizigo hiyo ilikuwa imetokea nchini Yamen. Mizigo hiyo likutwa na aina fulani ya unga PETN ambao unasadikiwa ungetumika kuleta madhara." Picha hao juu inaonekana moja ya ndege ya kubebea mzigo ikiwa inafanyiwa ukaguzi mara ya habari kupatikana ya kuwa kuna moja ya ndege za kubebea mizigo imebeba mzigo wenye bomu.
Saturday, October 30, 2010
Mizigo inayo sadikiwa kuwa na bomu yapatikana
Posted by Kibatala at Saturday, October 30, 2010 0 comments
Tuesday, October 26, 2010
Tarik Aziz ahukumiwa kifo na mahakama kuu nchini Irak.
Tarik Aziz ahukumiwa kifo na mahakama kuu nchini Irak.
Posted by Kibatala at Tuesday, October 26, 2010 0 comments
Sunday, October 24, 2010
China huenda ikatumia kura yake ya veto.
China huenda ikatumia kura yake ya veto.
Posted by Kibatala at Sunday, October 24, 2010 0 comments
Friday, October 15, 2010
Venezuela ya saini mkataba na Urussi kujenga mitambo ya nguvu za kinyuklia.
Michezo ya 19 ya jumuia ya Madola yamalizika nchini India.
Posted by Kibatala at Friday, October 15, 2010 0 comments
Thursday, October 14, 2010
Kazi ya uokoaji yamalizika salama nchini Chile
Kazi ya uokoaji yamalizika salama nchini Chile.
Posted by Kibatala at Thursday, October 14, 2010 0 comments
Monday, October 11, 2010
Swala la amani kati ya Waizrael na Wapalestina laingia sura mpya.
Swala la amani kati ya Waizrael na Wapalestina la chukua sura mpya.
Posted by Kibatala at Monday, October 11, 2010 0 comments
Thursday, October 7, 2010
Askofu Dasmond Tutu astaafu kazi za kiofisi.
Askofu Desmond Tutu astaafu kazi zote za kiofisi.
Posted by Kibatala at Thursday, October 07, 2010 0 comments
Sunday, October 3, 2010
Mashindano ya Jumuia ya Madola ya funguliwa.
Mashindano ya Jumuia ya Madola ya funguliwa. New Dheli, India - 03/10/2010. Wananchi wa India wamewakaribisha wanamichezo mbalimbali ili kushiriki mashindano ya nchi wanachama wa jumuia ya nchi zilizo kuwa koloni la Uingereza ambayo yanajulikana kama mashindano ya nchi za jumuia ya madola. Mashindano hayo ya 19th yameanza rasmi baada ya habari za wasiwasi kuenea ya kuwa itakuwa vigumu kwa mashindano hayo kufanyika kutoakana na maandalizi yaliyo tiliwa mashaka. Picha hapo juu wanaoneka wanamichezo wakishiriki wakati wa ufunguzi huku wakiongozwa na maonyesho yalioandaliwa kwa ajili ya ufunguzi.
Posted by Kibatala at Sunday, October 03, 2010 0 comments
Friday, October 1, 2010
Rwanda na Uganda zakanusha madai ya repoti ya Umoja wa Mataifa.
Denzel Washington kutangaza siku yamshindi wa Nobel nchini Oslo. Oslo, Norway - 01/10/2010. Mcheza simema maarufu duniani atakuwa mtangazaji wakati wa kutoa zawadi ya Nobel Price itakayo fanyika mwaka huo Oslo. Denzel Washington ambaye amekuwa maarufu kwa kucheza sinema zenya kusisimua hisia katika jamii alisema "niheshima iliyoje kuwa mmoja wapo ya watu watakao kuwepo na kushiriki kwenye sherehe hiyo." Picha hapo juu anaonekana Denzel Washington akiwa ameshikilia zawadi aliyo shinda kuwa mshindi bora katika kucheza sinema nzuri na kusisimua. Rwanda na Uganda zakanusha madai ya repoti ya Umoja wa Mataifa.
Posted by Kibatala at Friday, October 01, 2010 0 comments