Unene wa mwili ni hali ya hatari kwa mtu na matumizi ya serikali.
Tuesday, July 28, 2009
China na Amerika zakutana kujadili ushirikiano wa kiuchumi.
Posted by Kibatala at Tuesday, July 28, 2009 0 comments
Tuesday, July 21, 2009
Taliban watumia mbinu mpya katika kutengeneza nyenzo zao za kivita.
Swala la Rio Tinto, serikali mbili kukutana kuliongea.
Posted by Kibatala at Tuesday, July 21, 2009 0 comments
Sunday, July 19, 2009
Ndugu,jamaa, marafiki na viongozi washerekea siku ya kuzaliwa Nelson Mandela.
Ndugu, jamaa, marafiki, na viongozi washerekea siku ya kuzaliwa Nelson Mandela.
Posted by Kibatala at Sunday, July 19, 2009 0 comments
Thursday, July 16, 2009
Kifo cha rais wa Palestina chaleta kitendawili kati ya viongozi wa Wapalestina.
Iran na Amerika bado kupeana majibu.
Posted by Kibatala at Thursday, July 16, 2009 1 comments
Wednesday, July 15, 2009
Rais, Muammar Gaddafi,NAM, ipataiwe kiti cha kudumu cha Usalama UN.
Wairan na Walmania wakumbwa na msiba.
Posted by Kibatala at Wednesday, July 15, 2009 0 comments
Tuesday, July 14, 2009
Rais wa zamani wa Liberia akanusha mashitaka zidi yake.
Muungano wa Ulaya wapata rais mpya. Brussels, Ubeligiji - 14/07/09.Mbuge wa Poland, Jerzy Buzek, amechaguliwa kuwa rais wa bunge la muungano wa Ulaya, baada ya kuchaguliwa kwa kura nyingi zaid ya 555 kati ya kura 644 zilizo pigwa katika uchaguzi wa rais wa bunge la muungano wa Ulaya. Mbunge, Jerzy Buzek, ambaye ni mbuge wa mlango wa kati kimsimamo, amechaguliwa, ikiwa nchi yake ina miaka minne tangu kujiunga na muungano wa Ulaya. Picha hapo juu, anaonekana, rais wa sasa wa muungano wa Ulaya, akiongea mara baada ya kuchaguliwa kwake.
Hague, Holland - 14/07/09. Rais wa zamani wa Liberia, Charles Taylor ametoa ushahidi wake leo zidi ya makosa 11, ambayo yanamkabili.
Akiongea, mbele ya jaji, rais huyo wa zamani wa Liberia,Charles Taylor,alisema ya kuwa makosa zidi yake ni ya , uzushi,uongo ulio jaa fununu za ajabu,uvumi, na hayana ukweli ndani yake na wale wanao zania ya kuwa yeye alihusika,katika mauaji na machafuko ya liyotokea nchini Sierra Leone.
Machafuko na mauaji hayo yaliyo tokea mwaka 1991 - 2001, yalipoteza maisha ya watu wapatao 200,000. Hata hivyo kesi hii bado inaendelea. Picha hapo juu, anaonekana, rais wa zamani wa Liberia Charles Tayrol kushoto, akiwa mahakamani kutoa ushahidi wake.
Posted by Kibatala at Tuesday, July 14, 2009 0 comments
Sunday, July 12, 2009
Rais wa Amerika , Baraka Obama, Barani Afrika.
Rais , Baraka Obama, awasili barani Afrika kwa mara ya kwanza akiwa rais wa Amerika.
Posted by Kibatala at Sunday, July 12, 2009 0 comments
Thursday, July 9, 2009
Majina ya walioanzisha vurugu nchini Kenya yakabidhiwa kwa ICC.
Mgomo waleta kichwa kuuma kwa wapenzi wa soka duniani.
Posted by Kibatala at Thursday, July 09, 2009 0 comments
Tuesday, July 7, 2009
Dunia nzima yamuaga Michael Jackson kwa huzuni. Mungu ailaze roho yake peponi.Amina
Dunia nzima, yamuaga,Michael Jackson kwa huzuni. Mungu ailaze roho yake peponi. Amina.
Posted by Kibatala at Tuesday, July 07, 2009 0 comments