Friday, April 29, 2011
William na Catherine wafunga pingu za maisha.
Posted by Kibatala at Friday, April 29, 2011 0 comments
Monday, April 25, 2011
Taliban wavunja jela na kutoroka.
Posted by Kibatala at Monday, April 25, 2011 0 comments
Friday, April 22, 2011
Ndege aina ya Drone kuanza kutumika nchini Libya.
Posted by Kibatala at Friday, April 22, 2011 0 comments
Sunday, April 17, 2011
Serikali ya Kuba kufanya mabadiliko ya kisiasa.
Serikali ya Kuba kufanya mabadiliko ya kisiasa. Havana, Cuba -17/04/2011. Rais wa Kuba ametangaza mabadiliko ya kisiasa ambayo yatakayo fanyika nchini humo.
Posted by Kibatala at Sunday, April 17, 2011 0 comments
Friday, April 15, 2011
Obama,Sarkoz na Kameron tutahakikisha Gaddafi anang'oka.
Obama, Sarkoz na Kameron tutahakikisha Gaddafi anang'oka.
Posted by Kibatala at Friday, April 15, 2011 0 comments
Wednesday, April 13, 2011
Viongozi wakutana Katar kutathmin hali ya Walibya.
Nchi zinazo ongoza kukua kwa uchumi dunia zakutana nchini China. Hainan, China 13/04/2011. Viongozi wa serikali na mabenk wamekutana nchi China ili kuangalia kiundani njia bora ya kuimarisha sekta ya bishara ya kifedha na uchumi.
Posted by Kibatala at Wednesday, April 13, 2011 0 comments
Monday, April 11, 2011
Jeshi la Alassane Ouattara la mkamata Laurent Gbagbo.
Jeshi la Alassane Ouattara la mkamata Laurent Gbagbo. Abidjan, Ivory Coast -11/04/2011.Jeshi la upinzani linalo ongozwa na Alassane Ouattara, kwa kushirikiana na jeshi la Ufaransa limefanikiwa kumkamata aliyekuwa rais wa Ivory Coast baada ya kuvamia makazi yake.
Posted by Kibatala at Monday, April 11, 2011 0 comments
Iceland yasumbua vichwa vya wafadhili wake.
Iceland yasumbua vichwa vya wafadhili wake.
Posted by Kibatala at Monday, April 11, 2011 0 comments
Thursday, April 7, 2011
Mahakama ya Hague yaanza kesi za machafuko ya Kenya.
Mahakama ya Hague yaanza kusikiliza kesi za machafuko ya Kenya.
Posted by Kibatala at Thursday, April 07, 2011 1 comments
Wednesday, April 6, 2011
Uingereza ya kubali baadhi makosa.
Uingereza ya kubali baadhi ya makosa.
Posted by Kibatala at Wednesday, April 06, 2011 1 comments
Tuesday, April 5, 2011
Mke wa Ratko Maladic aiambia mahakama mume wake huenda amefariki.
Mke wa Ratko Mladic aiambia mahakama mume wake huenda amefariki. Belgrade,Serbia - 05/04/2011. Mke wa aliyekuwa kiongozi kivita vilivyo tokea nchi za Balkan amefikishwa mahakani ili kujibu mashitaka ya kukutwa na siraha. Bosijlika Mladik, ambaye alifikishwa mahakamani, aliiambia mahakama ya kuwa siraha hizo ziliwekwa na mumewe na aliwazuia kugusa kabati hilo.
Posted by Kibatala at Tuesday, April 05, 2011 1 comments
Sunday, April 3, 2011
Mahaka ya kimataifa yakataa kesi iliyofunguliwa na Georgia.
Mahakama ya kimataifa yakataa kesi iliyo funguliwa na Georgia. Hague, Uhollanzi - 03/04/2011. Mahakama ya kimataifa ya umoja wa mataifa imekataa kesi iliyo letwa na serikali ya Georgia zidi ya Russia.
Habari kutoka mahakama hiyo zinasema " mahakama haiwezi kuendelea na kesi kutokana na baadhi ya mazungumzo haya kufanyika na kuchunguzwa."
Kesi hiyo ulifunguliwa na serikali ya Georgia baada ya jeshi la Urussi kuivamia Georgia ili kuzuia mauaji dhidi ya wakazi wa Abkhazia na Kusini Ossetia.
Posted by Kibatala at Sunday, April 03, 2011 0 comments
Friday, April 1, 2011
Wafanyakazi wa Umoja wa mataifa wavamiwa.
Wafanyakazi wa Umoja wa mataifa wavamiwa. Mazar-el-Sharif, Afghanistan -01/04/2011. Ofisi za umoja wa mataifa nchini Afghanistan zimevamiwa na waandamanaji ambao walikuwa wanapinaga kitendo cha mchungaji mmoja kuchoma Kuraan.
Posted by Kibatala at Friday, April 01, 2011 0 comments