Wapalestina na Waizrael bado kukubaliana kimsingi haki zao Jerusalem Mashariki, Izrael - 25/10/09. Polisi wa Izrael wamevamia msikiti wa Al Aqsa na kupambana na waumini wa Kiislaam wengi wao wa kiwa Wapalestina. Kufuatia kuvamia eneo la msikiti huo wa Al Aqsa, waumini wa dini ya Kiislaam wengi ambao ni Wapelestina walianza kutupa mawe na huku polisi wa Izrael wakitumia mabomu ya kutoa machozi. Kwa mujibu wa shirika la kuktetea haki za binanadamu, limesema ya kuwa kuna baadhi ya watu walikamatwa na kuwekwa chini ya ulinzi wa polisi. Picha hapo juu anaonekana mmoja wa kijana wa kipalestina akirusha jiwe kuelekea walipo polisi na huku wapiga picha wakiwa kazini kupata picha kamili ya matukio. Jeshi la serikali la kamata miji iliyokuwa chani ya Taliban. Islamabad, Pakistan -25/10/09.Serikali ya Pakistan, imetangaza yakuwa imekamata mji wa Kusini mwa Waziristan ambao umezungukwa na milima. Kwa mujibu wa masemaji wa jeshi, alisema yakuwa waliweza kupambana na kundi la Taliban na mshiriki wake Al-qaed kwa muda wa wiki moja na kufanikiwa kukaribia mji amabo kiongozi wa Taliban, Hakimullah Mehsud. Kufuatia mapambano hayom, maelfu ya watu wamekimbia maeneo yao kwa ili kuokoa maisha yao. Picha hapo juu wanaonekana wanachi wakiwa wanakimbia kuepuka kipigo kutoka kwa mmoja wa wanajeshi ambaye ana jaribu kuwatuliza wakimbizi waliokimbia vita vinavyo endelea nchini Pakistan kupambana na ugaidi nchini humo. Kansellar Angel Markel ateua serikali mpya. Berlin, Ujeruman - 25/10/09. Kansellar Angel Markel, ametangaza serikali mpya itakaoyo iongoza Ujerumani hasa katika kipindi hiki cha kupapamba na kuinua uchumi wa nchini hiyo. Serikali mpya chini ya uongozi wa Bi, Angel Markel imeteua Wolfgang Schauble kuwa waziri wa fedha amabye atakuwa na kibarua kigumu cha kujaribu kuangali maswala ya pesa na kupunguza kodi za mapato kuanzia mwezi januari mwakani. Picha hapo juu, anaonekana Bi, Angel Markel akiongea mbele ya wanachama wa chama chake mapema wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu mapema mwaka huu. Baghdad yashutushwa na hali ya milipuko ya mabomu. Baghdad,Irak - 25/10/09. Mabomu yamelipuka karibu na ofisi za serikali ya Irak na kupoteza maisha ya watu 108 na kujeruhi watu wasiopungua 512. Kwa mujibu wa habari , huenda idadi ya watu watakao poteza maisha ikaongezeka kutokana na milipuko hiyo ya mabomu. Serikali ya Irak, imelaaani kitendo hicho na kudai yakuwa ni kitendo cha kulaani wa na jumuia ya kimataifa na lazima kupigana na hali hii kwa hali na mali. Picha hapo juu, unaonekana moshi ukielekea juu, baada ya bomu kulipuka karibu na ofisi za serikali.
Sunday, October 25, 2009
Kansellar Angel Markel ateua serikali mpya.
Posted by Kibatala at Sunday, October 25, 2009 0 comments
Friday, October 23, 2009
Uchumi wa China wapata nafuu.
Uchumi wa China wapata nafuu. Beijing, China 23/10/09. Serikali ya China imetangaza ya kuwa hali ya uchumi wa nchi hiyo umepanda kwa kiasi cha asilimia 8%, kwa muda mfupi tangu dunia kukumbwa na tetemeko la kiuchumi. Kwa mujibu wa serilikali, kupanda kwa hali ya kiuchumi, kumekuja baada ya matumizi ya nje na ndani kuelekea kufanya vizuri kibiashara. Picha hapo juu ni ya bendera ya China, nchi ambayouchumi wake na maendeleo yake ya kiuchumi duniani yamekuwa yakienda vizuri. Wanchi wa Kenya waishitaki Uingereza kwa makosa ya miaaka ya 1950-60s.
Posted by Kibatala at Friday, October 23, 2009 0 comments
Monday, October 19, 2009
Mwaka 2009 hakuna kiongozi bora wa Afrika.
Mwaka 2009 hakuna kiongozi bora wa Afrika. London,Uingereza - 19/10/09.Shirika linalo simamiwa na mfanyabiashara mwafrika, Ibrahim Mo, limetangaza mwaka 2009 halitatoa zawadi kwa kiongozi yoyote wa Afrika. Akiongea leo jijini London, Ibrahim Mo, alisema kamati inayo simamia uchaguzi wa viongozi bora wa Afrika, imekosa kiongozi wa Kiafrika ambaye amekamilisha matakwa ya kiongozi kupewa zawadi na shirika hilo. Zawadi hiyo hutolewa kwa viongozi wa Afrika ni kiasi cha dola za Kiamerika Milllion tano na dola laki lakimbili killa mwaka hutolewa kimaisha mpaka hapo mteuliwa watakapo aga dunia. Picha hapo juu anaonekana, Ibrahim Mo, akiongea leo mbele ya wajumbe wa kamati waliokuja kushuhudia ni nani amechaguliwa kuwa kiongozi bora wa Afrika wa mwaka 2009, alitangaza yakuwa mwaka 2009 hakupatikana kiongozi aliye fikisha matakwa ya kuwa kiongozi bora wa Afrika. Mauji nchini Iran yaleta kushutumiana na nchi majirani.
Posted by Kibatala at Monday, October 19, 2009 0 comments
Wednesday, October 14, 2009
China na Urussi kutiliana mkataba wa kibiashara.
Wanajeshi kuongezwa nchini Afghanistan"Waziri mkuu wa Uingereza atangaza".
Posted by Kibatala at Wednesday, October 14, 2009 0 comments
Thursday, October 8, 2009
Swala la nyuklia lawa kitendawili.
Swala la nyuklia lawa kitendawili.
Posted by Kibatala at Thursday, October 08, 2009 0 comments
Saturday, October 3, 2009
Rio de Jainero, wenyeji wa michezo ya Olyimpik 2016"Kwa mara ya kwanza katika udongo wa Amerika ya Kusini.
Rio de Janeiro, wenyeji wa michezo ya Olyimpik 2016."Kwa mara ya kwanza katika udongo wa Amerika ya Kusini".
Posted by Kibatala at Saturday, October 03, 2009 0 comments