Chaji za simu kuwa za aina moja kiviwango. Brussels, Ubeligiji - 29/06/09. Kampuni zilazo shughulikia, utengenezaji wa simu, zimekubaliana kwa pamoja kuanza kutengeneza chaji za aina moja, kwa ajili ya matumizi ya simu zote. Kwa mujibu wa habari kutoka ndani ya ofisi inayaoshughulikia, maswala ya mawasialiano katika nchi za jumuia ya Ulaya, zimesema ya kuwa kampuni za Nokia ,Motorola, Sumsung, Sony Ericsson., Apple,na LG, ambazo zina tengeneza simu na kutukiwa na wakazi wa Ulaya, zimekubaliana na kamati ya mawasiliano kwa kukubaliana kutengeneza chaji zitakazo tumika kwa kiwango kimoja. Kwa mujibu, wa habari hizi , kuanza kutumika kwa chaji hizi mpya, kuaanza mapema mwakani. Picha hpo juu, zimnaonekana, aina tofauti za chaji , ambazo hutumika kwa simu tofauti,na huwa zinaleta matatizo kwa watumiaji wa simu katika nchi Ulaya. Millionea ahukumiwa kwenda jera miaka 13 nchini Urussi. Moscow, Urussi, -29/06/09. Mahakama mjini Moscow, imemuhukumu, milionea Boris Berezovsky kwenda jela miaka 13, baada ya kukutwa na hatia ya kulaghai kwa kujipatia kiasi cha $million kutoka kwa kampuni ya Avtovaz. Boris Berezovsky,alihukumiwa, wakati yeyemwenyewe hakuwepo mahakamani. Mtuhumiwa huyo, Boris Berezovsky, anaishi ukimbizini nchi Uingereza. Picha hapo juu, anaonekana, Boris Berezovsky,akiingia ndani ya gari, ambapo kuonekana kwake huwa nadra saana.
Monday, June 29, 2009
Kamati ya uchaguzi Iran, rais,Mahmoud Ahmadinejad,badao ni mshindi.
Posted by Kibatala at Monday, June 29, 2009 0 comments
Friday, June 26, 2009
Mfalme wa Muziki wa Pop atutoka,MUNGU BABA TUNAKUOMBA UILAZE ROHO YA MICHAEL JACKSON PEPON.AMINA.
Mfalme wa Muziki wa Pop atutoka,MUNGU BABA TUNAKUOMBA UILAZE ROHO YA MICHAEL JACKSON PEPON.AMINA.
Picha ya familia ya Mzee Joseph Jaskson, akiwa na watoto wake, Jackon Five, wa kwanza kushoto ni Michael Jackson, ambaye alikuwa ndiye nyota katika kundi zima la musiki wa Jackson 5.
Michael Jackson, alikuwa na umri wa miaka 50.
Posted by Kibatala at Friday, June 26, 2009 0 comments
Tuesday, June 23, 2009
Urussi yatamka kushirikiana kuhusu swala la mashariki ya Katu
Wapigania uhuru kuishitaki Uingereza.
Posted by Kibatala at Tuesday, June 23, 2009 2 comments
Tuesday, June 16, 2009
Rais wa zamani wa Amerika atembelea Gaza.
Wananchi wa Niger, kupiga kura ya maoni ya hatma ya urais. Niamey, Niger 16/06/09. Maelfu ya wanchi Niger, wameandamana kudai ya kuwa rais,Mamadou Tandja, aliyepo madarakani,asibadilishe katiba, ili aweze kugombea tena kiti cha uchaguzi kwa mara ya tatu. Maandamano hayo, nayamefanywa kufatia kupangwa tarehe ya kupiga kura ya maoni 4/Agusti,ikiwa kama rais Mamadou Tandaja ataweza endelea kugombea kiti cha uraisi. Rasi, Mamadou Tandja, anatarajiwa kumaliza muda wake wakuongoza nchi hivi karibuni. Picha hapo juu, anaonekana, rais Mamadou Tandja, akiwa katika moja ya mikutano ya kimataifa.
Posted by Kibatala at Tuesday, June 16, 2009 0 comments
Monday, June 15, 2009
Ahmadinejad, achaguliwa tena kuwa rais,matokeo ya uchaguzi yaleta sakata Iran.
Muda si mrefu,Waingereza kupata ukweli kuhusu vita vya Irak.
Posted by Kibatala at Monday, June 15, 2009 0 comments
Wednesday, June 10, 2009
Sudan kuzalisha mafuta kutoka kwenye mimea.
Sudan kuzalisha mafuta kutoka kwenya mimea. Khartoum, Sudan - 10/06/09. Serikali ya Sudan imezindua rasm mmea utakao tumika katika kutengenezea mafuta ya kuendeshea mitambo. Akizindua mmea huo, rais wa Sudana, Omar Al Bashir, alisema ya kuwa serikali yake itafanya kilanjia mradi huo udumu kwa utaipatia Sudan, pesa za kigeni na kuta ajira. Kwa mujibu wa uongozi wa kampuni hiyo ya Kenana, imesema ya kuwa mtambo huo utakuwa na uwezo wa kuzalisha mafuta lita 200 million , yatakayo toka kwenye mimea hiyo baada ya miaka miwili. Picha ya hapo juu, ni ya bendera ya serikali ya Sudan, nchi ambayo imegundua mimea itakayo toa zao halisi la mafuta kwa ajili ya kuendeshea mitambo. Hali halisi ya maisha kuisaida Taliban kukua. Ismabad, Pakistan - 10/06/09. Wachunguzi wa mambo ya kiusalma nchini Pakistan, wanasema ya kuwa kundi la Taliban, linazidi kukua kila mwaka. Hii inakuja kutokana na hali halisi ya eneo hili,kiimani,mila na desturi na hasa swala usalama wa wanchi waliowengi nchini Pakistan na hivyo wanchi wengi kujikuta kuingia katika kundi la Taliban kwa nguvu au kwa hiyari yao. Picha hapo juu wanaonekana baadhi ya watu, ambao wamesimama khuku wakiota jua,katika kambi moja ya wakimbizi, baada ya kukimbia vita vinavyoendelea kati ya Taliban na majeshi ya serikali.
Posted by Kibatala at Wednesday, June 10, 2009 0 comments
Tuesday, June 9, 2009
Familia ya, Ken Saro Wiwa, na wenzake walipwa madai yao.
Mbrazili nyota asajiliwa kwa kitita kinene. Madrid, Uispania - 09/06/09.Timu ya Real Madrid,imemsajili mchezaji nyota wa Brazil, Kaka, kwa kitita cha $ 94.05million na kuvunja rekodi ya dunia. Kaka, ambaye alikuwa mchezaji wa, AC Milan, amevunja rekodi ya iliyo wekwa na, Zinedin Zidane, aliposajiliwa na mwaka 2001. Hata kwa mujibu wa wachunguzi wa maswala ya soka, wanasema bado Zinedine Zidane, anaweka rekodi ya kuwa mchezaji aliye nunuliwa kwa Euro 73million na Kaka Euoro 63, kwa kuzingatia mzunguko wa mabadiliko ya pesa ( Fedha). Picha hapo juu anaonekana, Kaka , akiongea na waandishi wa habari, muda baada ya kumaliza kufanya uangalizi wa afya mapema jana. Jose Emanuel Barroso,achaguliwa tena kuwa rais wa Muungano wa Ulaya.
Posted by Kibatala at Tuesday, June 09, 2009 0 comments
Monday, June 8, 2009
Rais wa Gabon hatupo nae tena.
Waandishi wahabari, 2 wa Amerika wahukumiwa kwenda jela miaaka 12 kila mtu.
Posted by Kibatala at Monday, June 08, 2009 0 comments