Nchi za Kiarabu zatakiwa kuongeza juhudi kutatua mgogoro wa Palestina na Israel "Katibu waUmoja wa mataifa ". Umoja wa Mataifa,Amerika-29/12/08. Katibu mkuu wa umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon,amezitaka Palestina na Israel kusimamisha mapigano mara moja , na kurudi katika meza ya majadiliano. Katibu huyo, Ban Ki-moon, akisitiza hayo,alizitaka nchi za Kiaarabu kufanya kila juhudi ili kuleta amani katika eneo hilo la Ukanda wa Gaza kwani juhudi wanazo zifanya hazisaidi, hivyo inabidi waongeze juhudi zaidi. Katibu Ban Ki-moon, alisema vita vilivyopo kwenye Ukanda wa Gaza, haukubaliki na jumuia ya kimataifa, hivyo lazima visimamishwe mara moja kwani vita hivyo vinaleta mazara makubwa kwa jamii na watu wa pande zotembili, Israel na Palastina kupoteza maisha yao. Picha hapo juu anaonekana, Katibu mkuu wa umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, akiongea na waandishi wa habari, mara baada ya kumaliza kikao na kamati ya usalama ya Umoja wa Mataifa kuhusu hali alisi na nini kifanyike ili kuwepo na amani katika eneo la Ukanda wa Gaza. Umoja wa nchi za Afrika waonyesha makali yake"Guinea yasimamishwa uanachama".
Monday, December 29, 2008
Rais wa Somalia aacha madaraka"Asema ameshindwa baadaya jitihada zake kugonga ukuta"
Posted by Kibatala at Monday, December 29, 2008 2 comments
Thursday, December 18, 2008
Hali ni ngumu kwa Joseph Koni,"Umoja wa matifa waomba kuunga mkono"
Muhusika wa mauaji ya halaiki ya Rwanda afungwa maisha.
Posted by Kibatala at Thursday, December 18, 2008 0 comments
Monday, December 15, 2008
Ziara ya mwisho ya rais, George Bush nchini Irak ya kutwa na mkasa.
Mwanana mama mwenye umri wa miaka 70 ajifungua mtoto. Jimbo la Haryana, India-15/12/08. Mwanamke mwenye miaka 70,(amjaliwa kupata mtoto), kujifungua mtoto wa kike, akiwa ni mwanamke wenye uri mkubwa katika historia ya India na dunia. Mwanamke huyu, Rajo Devi, alijifungua kwa kufanyiwa upasuaji, alisema ,mganga aliye muhudumia, Dr Anurag Bishnoi, na amganga alimalizia kwa kusema, bi, Rajo Devi yupo katika hali nzuri. Picha hapo juu, anaonekana mwamama, Rajo Devi na mume wake pamoja na mtoto wao wa kike baada ya kuruhusiwa kutoka hospitalini. Ziara ya mwisho ya rais, George Bush nchini Irak ya kutwa na mkasa.
Posted by Kibatala at Monday, December 15, 2008 0 comments
Tuesday, December 9, 2008
Pakistan yaweka ngumu kuwepeleka raia wake nchini India.
Wakaribbean waomba rais mteule wa Amerika, Baraka Obama, kuondoa vikwazo kwa serikali ya Kuba. Saint John's,Barbuda - 09/12/08.Jumua ya nchi za Karibbien, zimemwomba rais mchaguliwa wa Amerika, Baraka Obama, kuondoa vikwazo vilivyo wekwa kwa serikali ya Kuba. Akiongea hayo, waziri mkuu wa Antigua na Barbuda, W Baldwin Spencer,ambaye ni mwenyekiti wa jumuia ya nchi za Karibbien, amesema hayo wakati wa mkutana wa viongozi wa nchi hizo ulio fanyika Santiago de Kuba. Hata hivyo , rais mteule wa Amerika, Baraka Obama, alisema yakuwa serikali yake itapunguza baadhi ya vikwazo kwa wananchi wa Kuba,lakini vikwazo vitabakia mpaka hapo serikali ya Kuba itakapo badilisha msingi wake wa kisiasa. Picha hapo juu, anaonekana rais mtuele wa Amerika, Baraka Obama, akisikiliza kwa makini wakati alipo udhulia moja ya mikutano ya kampeni ya kugombania urais wa Amerika,na aliahaidi mabadiliko makubwa katika serikali yake ikiwa atachaguliwa kuwa rais wa Amerika na kukuza ushirikiano na jumuia ya kimataifa ili kurudisha hazi ya Amerika na wanachi wake. Mamia ya waumini wa dini ya Kiislaam, wamaliza kutimiza moja ya nguzo za dini. Mecca,Saudi Arabia - 09/12/08.Maelfu ya waumini wa dini Kiislaamu,wametiza wajibu na nguzo za dini ya Kiislaamu, baada ya kukamilisha hija kwa kufuata njia zote alizo fanya Mtume Muhammad ( S . A . W). Kwenda Hija, ni muhimu kwa kila Muislaamu, endapo atajaliwa kufanya Hija wakati uzima wake, alisema, mmoja ya Mahujaji. Picha hapo, juu wanaonekana baadhi ya waumuni wa dini ya Kiislaamu wakiwa wamepumzika karibu na mlima Arafat. Picha ya pili wanaoneka, baba na mtoto wake wa wakitupa mawe, ikiwa ni ishara ya kumpiga shetani na mambo yake yote. Picha ya tatu,wanaonekana mamia ya waumini, wakizunguka mnara wa Kabba, ambao nu moja ya jiwe ambalo limebakiwa ambalo lilijengwa na Mtume Abraham( Ibrahim), na nimuhimu kwa kila Muislaamu akijaliwa kulitenda na kutimiza katika uzima wake. Pakistan yaweka ngumu kuwapeleka raia wake nchini India.
Posted by Kibatala at Tuesday, December 09, 2008 0 comments
Monday, December 8, 2008
Wafanyakazi wa kampuni ya ulinzi na usalama ya Blackwater, kizimbani kujibu kesi ya mauaji.
O.J.Simpson,akutwa na hatia na kufungwa miaka 15 jela.
Posted by Kibatala at Monday, December 08, 2008 0 comments