Kiongozi wa Korea ya Kaskazini ampa madaraka ya chama mtoto wake.
Wednesday, September 29, 2010
Maafisa usalama wagundua mpango na njama za magidi
Posted by Kibatala at Wednesday, September 29, 2010 0 comments
Monday, September 27, 2010
Abbas atoa muda kwa viongozi wa Izrael kusimamisha ujenzi
Rais Robert Mugabe ataka Afrika ipewe kiti cha kudumu. UN, New York 27/09/2010. Rais wa Zimbabwe ametaka bara la Afrika lipewe kiti katika baraza la usalama la umoja wa Mataifa.cha kudumu Rais Robert Mugabe alisema "ni kitu kisichokubalika na wala kueleweka kwa bara la Afrika kuwa nara pekee lisilokuwa na kiti cha kudumu katika baraza la usalama la umoja wa matifa na ihii inaleta kutokuwa na usawa kihistoria" Kamati ya usalama ya umoja wa Mataifa ina wakilishwa na Uingereza, Marekani, China, Urussi,France na wawakilishi kumi ambao uchaguliwa kila baada ya miaka miwili na watano kubadilishwa kila mwaka. Picha hapo juu anaonekana rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe akihutubia kwenye mkutano wa umoja wa mataifa katika kikao cha 65 cha umoja huo wa mataifa 2010. Serikali ya Ufaransa ya haidi kuwaokoa raia wake waliotekwa nyara. Bamako, Mali - 27/09/2010. Serikali ya Ufaransa iko mbioni iki kuwaokoa raia wa Ufaransa ambao wametekwa nyara na kundi la Maghreb ambao linashirikiana na kundi la Alqaeda. Kwa mujibu wa msemaji wa ofisi ya rais alisema" tunaamimini ya kuwa raia waliotekwa na kundi hilo bado wazima na niwajibu wa serikali kuokoa maisha ya raia wake" Pichani anaonekana rais wa Ufaransa ambaye serikali yake inafanya kila mbinu kuwaokoa raia wake waliotekwa nyara na kundi la Maghreb.
Posted by Kibatala at Monday, September 27, 2010 0 comments
Thursday, September 23, 2010
Baraka Obama asisitiza ushirikiano kutatua mgogoro wa Mashariki ya Kati.
Baraka Obama asisitiza ushirikiano kutatua mgogoro wa Mashariki ya Kati.
Posted by Kibatala at Thursday, September 23, 2010 0 comments
Sunday, September 19, 2010
Mzozo wa kidini waleta hali ya wasiwasi Indonesia
Mzozo wa kidini waleta hali ya wasiwasi Indonesia. Jakarta, Indonesia - 19/09/2010. Mamia ya waumini wa dini ya Kikristu wame kiuka amri iliyo wekwa na polisi kuwataka wasiudhulia misa kutokana na sababu za kiusalama. Kwa mujibu wa kiongozi mmoja wa kanisa la Batak Christian Church alisema "tunataka haki ya kuomba Mungu, kwani tukikataliwa tutakuwa tunanyimwa haki zetu." Picha hapo juu wanaonekana baadhi ya waumini wa dini ya Kikristu ambao walikusanyika pamoja kumuomba Mola.
New York, UN - 19/09/2010. Umoja wa Mataifa umetoa ropoti ya kuwa nchi zilizopo kusinu mwa jangwa la Sahaha zimejitahidi kupambana na usaambaa wa ugonjwa wa ukimwi.
Kwamujibu wa hahabiri UN zinasema "uambukizwaji wa ugonjwa huo umepungua kwa asilimia 25 katika nchi ambazo zilikuwa zinaongoza kwa kusambaa kwa ugonjwa huo."
UN ilisisitiza haya ni matokeo ya kampeni na mipango mbinu ambayo imesaidia katika kupunguza uasambaaji wa ugonjwa huo.
Picha hapo juu wanaonekana baadhi ya watu wakiwa katika kampeni ya kupambana na ugonjwa wa ukimwi.
Posted by Kibatala at Sunday, September 19, 2010 0 comments
Tuesday, September 14, 2010
Viongozi wa Palestina na wa Izrael wakutana tena
Viongozi wa Iran wakutana na viongozi wa Afrika. Tehran, Iran - 14/09/2010. Rais wa Iran amezitaka nchi za Afrika "kutafuata uhuru kamili iki kuepukana na uchumi tegemezi ambao unakuja kwa masharti. Rais Mahmoud Ahmadinejad aliyaongea hayo wakati alipokuwa akifungua mkutano uanawakutanisha viongozi wa Afrika na wa Iran ili kujadili ushirikiano wa karibu. Picha hapo huu inawaonyesha viongozi wa Afrika wakiwa na rais wa Irani mara wakati wa mkutano.
Posted by Kibatala at Tuesday, September 14, 2010 0 comments
Saturday, September 11, 2010
Waamerika wawakumbuka waliopoteza maisha Septemba 11
Waamerika wawakumbuka waliopeteza maisha Septemba 11.
Posted by Kibatala at Saturday, September 11, 2010 0 comments
Tuesday, September 7, 2010
Bi, Julia Gillard kuiongoza Australia.
Bi, Julia Gillard kuiongoza Australia.
Posted by Kibatala at Tuesday, September 07, 2010 0 comments
Monday, September 6, 2010
Paul Kagame aapishwa kuwa rais wa Rwanda kwa muhula wa pili.
Paul Kagame aapishwa kuwa rais wa Rwanda kwa muhula wa pili. Kigali, Rwanda - 06/09/2010. Wanachi wa Rwanda wameshuhudia kwa mara nyingine tena kuapishwa kwa rais aliyechaguliwa baada ya uchaguzi mkuu kumaliziaka tangu kutokea mauaji ya kimbari mwaka 1994. Paul Kagame 52, ameapishwa kuwa rais wa Rwanda kwa mara ya nyingine tena, baada ya kushsinda uchaguzi mkuu iliyo shirikisha vyama vingi. Akiongea baada ya kuapishwa, rais Paul Kagame, alisema "umefikia wakati wa Afrika kujisimamia wenyewe na hakuna kipya cha kujifunza kutoka nchi za Ulaya." Sherehe hizo ziliuzuliwa na vingozi wa nchi jirani, Afrika na wageni wengine waaalikwa. Pichas hapo juu anaonekana rais Paul Kagame akiapa kuwa rais wa Rwanda kwa mara ya pili.
Posted by Kibatala at Monday, September 06, 2010 0 comments
Sunday, September 5, 2010
Fidel Castro ataadhari dunia na nguvu za kinyuklia.
Fidel Castro ataadharisha dunia na nguvu za nyuklia. Havana, Kuba - 05/09/2010. Rais wa zamani wa Kuba Fidel Castro, ameitaadhalisha dunia kuhusu hali iliyopo ambayo nchini zenye nguvu za kinyuklia zitaendelea kusukumana na Iran basi huenda zikaamua kutumia nguvu za kinyuklia jambo ambalo litahatarisha dunia kwa ujumla. Fidel Castro 84, akihutubia mbele ya watu wapatao 11,000 alisema " ikiwa Amerika na washirki wake wataendele kuiwekea Iran vikwazo kutokana na nchi ya Iran kutokubaliana na matakwa yao ( Amerika) na washiriki wake kunaleta wakati mgumu na hivyo wakati umefika watu wote duniani washirikiane kuzuia matumizi ya nguvu za kinyuklia yasitumike." Picha hapo juuanaonekana Fidel Castro akiwasalimia baadhi ya watu waliohudhulia wakati wa hotuba yake.
Posted by Kibatala at Sunday, September 05, 2010 0 comments
Wednesday, September 1, 2010
Hali ya usalama nchini Somalia yazidi kushutua dunia
Hali ya usalama nchini Somalia yazidi kushutua dunia. Mogadishu,Somalia - 01/09.2010. Wakazi wa mji wa Mogadishu wamekuwa katika hali ya wasiwasi tangu kundi la al-Shabaab kuaendelea kushambulia mji la Mogadishu Kundi la al Shabaab lilitangaza hivi karibuni ya kuwa linaanza mashambulizi rasmi kushambulia majeshi yote ya kigeni ambayo yamo nchini humo. Picha hapo juu wanaonekana baadhi ya watu wakiwa wanamsaidia mama mmoja ambaye alipata mshituko mara baada ya kundi la al Shabaab kuanzisha mashambulizi.
Posted by Kibatala at Wednesday, September 01, 2010 0 comments