Wednesday, February 17, 2010

Ufaransa yafuta deni la Haiti.

Ufaransa yafuta deni la Haiti. Port-au-Prince,Haiti. 17/02/2010. Rais wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy amewasili nchi Haiti kwa ziara ya kiserikali na kuthmini hali halisi ya uaribufu ulio fanywa na tetemeko la ardhi lililo tokea mwamzono mwa mwaka huu. Akiongea na viongozi wa serikali na wananchi alisema Ufaransa imefuta deni lenye thamani $ 77millions na $450 kuchangia ujenzi wa Haiti baada ya kuathirika na tetemeko la ardhi. Picha hapo juu, anonekana rais wa Ufaransa kulia na mwenyeji wake rais wa Haiti. akikagua gwaride mapema alipo wasili nchini Haiti kuangli uharibu ulio fanywa na tetemeko la ardhi. Argentina yaweka malipo kwa meli zote ziingiazo kwe visiwa vyake.

Buenos Aires, Argentina - 17/02/2010. Rais wa Argentina,Christina Kerchner ametia sahihi sheria itakayo lazimisha kila meli ambayo itakuwa inapita katika visiwa Malivinas na Falkland kupata ruhusa kutoka serikali ya Argentina.

Kufuatia kutiwa sahihi sheria hiyo, serikali ya Uingereza, imemwita balozi wa Argentina nchini Uingereza kujibu maswali ya kuhusu sheria hiyo mpya.

Picha hapo juu anaonekana rais wa Argentina,akiongea kuelezea hali halisi ya visiwa vya Argentina.

No comments: