Muhusika wa mauaji ya halaiki ya Rwanda afungwa maisha.

Picha hapo juu anaonekana, Theoneste Bagosora, akiwa mahakama kusikilaza hukumu yake.
Chini anaonekana, mlinzi wa mahakama, akimwelekeza yakuwa asimame, huku anaonekana Theoneste Bagasora, akimwangalia mlinzi tayari kunyanyuka kwenda kuanza kutumikia kifungo.
Nguvu za kijeshi za Kirusi bado zazunguka Latini Amerika.

PIcha hapo juu,wanaonekana rais wa Urusi, Dmitry Medvedev akikaribishwa na mwenyeji wake rais wa Kuba Raul Castro, mapema walipo kutana mjini Havana.
Chini ni zinaonekana melikebu, zikiwa njiani kuelekea kwenye bahari ya Kuba.
Hali yawa ngumu kwa Joseph Koni"Umoja wa mataifa waombwa kuunga mkono'.


Hata hivyo, Joseph Koni, alitoa sharti ya kuwa ni lazima,hati ya kukamatwa kwake na wenzake ifutwe, ndipo maswala mengine ya tufuatilia.
Picha hapo juu ni ya rais wa zamani wa Msumbiji, ambaye ndiye msuruhishi wa matazizo yaliopo nchini Uganda.
Picha yapili anaonekana,Joseph Koni, akiwa amezungukwa na walinzi wake huko mafichoni.
Bei yamfuta kupunguzwa, wasema viongozi wa OPEC.

Akiongea hayo,Chekib Khelil, ambaye ni rais wa OPEC, alisema nimatumaini yangu tumewashangaza wengi,na hii itasaidia kupunguza bei ya baadhi ya vitu vingine.
Picha hapo juu anaonekana, rais wa OPEC, Chekib Khelil, akiongea na waandishi wa habara baada ya mkutano mjini Oran.
No comments:
Post a Comment