

Rais Lech Kaczynski's na wajumbe wake walikuwa wakielekea Urusi, ambapo ndege iliyokuwa imewabeba kuanguka karibu na kiwanja cha ndege na kupoteza maisha ya watu wote waliokuwemo ndani ya ndege hiyo.
Picha hapo juu ni ya hayati raia Lech Kacznski's, enzi za huai wak, mara baada ya kumaliza kuakagua gwaride rasmi.
Picha ya pili mi msururuwa magari ambamo moja ya gari hizo imebeba mwili wa marahemu rais wa Poland kuelekea Ikulu ya Poland.
Picha ya tatu wanaonekana awanajeshi wa Poland, wakiwa wamebeba mwili wa marehemu rais wa Poland, Lch Kaczynski' mara baada ya kuwasili nchini Poland.
Rais wa Amerika akutana na viongozi wa dunia.

Washington, Amerika 12/04/2010. Rais wa Amerika anakutana na viongozi tofauti kutoka mabara yote ya dunia katika mkutano utakao zungumzia ni njia gani zinatakiwa kuhakikisha ya kuwa siraha za nguvu za kinyuklia hazita angukia katika mikono ya Al-qaeda na wafuasi wake, kwani huenda wakazitumia katika mashambulizi.
Rais, Baraka Obama, amemefanya uamuzi huo kama ule uliofanywa na rais Franklin D Roosevelt ambaye aliwaita viongozi wa wa dunia wakati wamkutano wakutaka kuanzisha umoja wa Matifa mnamo mwaka 1945.
Akiongea rais wa Obama alisema "lazima jumuia ya kimataifa iakikishe kuwepo na usalama na ilinzi kuhakikisha siraha za nyuklia aziangukii katika mikono potofu"
Picha hpo juu wanaonekana rais Baraka Obama na waziri wa mambo ya nje wa Amerika, Hirally Clinton wakielekea kujiandaa kuwapokea viongozi wa dunia.
No comments:
Post a Comment