Maaelfu wamzika mfalme wa ragge nchi Afrika ya Kusini.
Hayati Luck Dube enzi za uhai wake, akiwa jukwaani.
Wakati mwanamuziki anapo imba nyimbo, watu hukaa na kusikiliza, anamaana gani? hapo yanapo tokea, ndipo tunakumbuka yaliongelewa na mwanamusiki huyu.
Mwana muzik
i wa rege wa Afrika na Dunia nzima kutoka Afrika ya Kusini amefariki dunia, baada ya kupigwa risasi wakati wa majaribu ya kutaka kuiba gari lake, nje kidogo ya jiji la Johannesburg.
Luck Dube aliyekuwa na miaka 43, alikutana na majambazi hayo pembeni mwanyumba ya kaka yake, alipo kuwa amekwenda kutembe.
majambazi hayo yalimpiga risasi baada ya Luck Dube kushusha watoto wake kutoka kwenye gari aliyo kuwa akiendesha. Mauaji hayo yalitokea mbele ya kijana wake wa kiume, ambaye ameshikwa na mshituko mkubwa. Kutokana na msemaji wa polisi , watoto ni wazima hawakuumizwa na majambazi haya. Kifo cha Dube kimeshutusha watu wengi,dunia nzima na hasa wapenzi wa muziki wa rege.
Rambirambi zinazidi miminika, kwa ukoo wake na familia kwa ujumla.
Hayati, Luck Dube akiwa amepiga picha katika moja ya albumu ya nyimbo zake alizo toa enzi za uhai wake na kupendwa saana duniani kote.
Wana soka wa Afrika, huru kucheza Uispania kufuatia mkataba wa Catonou - Benin"
Samweli Eto'o apata uraia wa Uispania. Na wati huu habari za kufurahisha kwa wana soka wa Afrika wanaotaka kucheza soka nchini Uispania karibuni
Wachezaji wa kabumbu kutoka Afrika wapo huru kucheza mapira nchini Uispania, bila matatizo yoyote,kama raia mwingine wa Ulaya ya Magharibi. Hii ina tokana na mkataba wa makubaliano uulio sainiwa 2000 Benin Catonou, kupitishwa na kukubalika na chama champira cha Uispania.
Mkataba huu unazijumuisha nchi zisizo pungua 77 za Afrika na Carribeani.
Hapa anaonekana mwana soka maili kutoka Afrika Samweli Etoo aki fanya vitu vyake ndani ya jezi ya timu yake Barca iliyopo Uispania.
Kabla ya Mandela, alikuwepo Julius Nyerere, mpigania haki za waafrika.
Ucheshi na tabasamu la mwalimu, lilionyesha utu wake kwa watu wengine.
Mwalimu anapo elezea kitu alikuwa makini
Afrika imeondokewa na viongozi waliokuwa na mapenzi ya waafrika na Afrika kwa ujumla.
Haya ni maneno ya mzee mmoja,ambaye anaeleza haya kutokana na mtazamo wake.
Kama nchii Tanzania bila rais wake wa kwanza hayati Julius Nyerere, asinge kuwa na mapenzi na watu wake, basi hii amani inge kuwa ndoto.
Nyerere alikuwapepo kabla ya Mandela, na dunia nzima inajua Julius ni nani kwa kuwapa ukweli mabepari.
Haya yaliongewa wakati Tanzania, Afrika na Dunia kwa ujumla inadhimisha kumbukumbu ya siku 14/Okt/1999,aliyo aga dunia rais wa kwanza wa Tanzania bwana Julia Kamabarage Nyerere.
Hayati Julius Nyerere, alikuwa mstari wa mbele kutete haki za wanyonge, kupiganai uhuru wa bara zima la Afrika, na alichangi kwa kiasi kikubwa kupatikana kwa usawa nchini Afrika ya Kusini, Uhuru wa Zimbabwe ,Mozambiki,na kusini mwa afrika kwa ujumla
Mungu aiweke roha yake peponi 'Amina'
Wanachi wa Burkina Faso wanaadhimisha kifo cha aliyekuwa Che Guevara wa Afrika, rais wa ( Kapteni) Thomas Sankara, amabaye aliuwawa wakati wa mapinduzi ya nchii hiyo 1987.
Halai ina zidi kutisha, kutokana na kuongezeka kwa wagonjwa wa kisukari nchini Kenya, Kutokana na msemaji mmoja wa wizara ya afya amesema wangonjwa wanaongezeka kwa kila mwaka kwa asilimia 3.5%, na hii ni hatari, kwani hapo mwanzoni, watu wazima juu ya miaka 50, ndiyo waliyo kuwa wanaonekana kuathirika na ugonjwa huu wa kisukari.Muaji huyu anamaliza taifa letu bila wanachi kujua, lazima tujiadhali" Msemaji"
Serilkali ya Rwanda ya anza uchunguzi, ajali iliyo sababisha kifo cha eliye kuwa rais wa Rwanda bwana Juveneil Habayalimana.
Rais wa Kuba bwana Fidel Castroa, hivi majuzi aliongea, na wanainchi wa Kuba, nakuezea ya kuwa bado anaendelea vizuri.
Waziri mkuu wa zamani wa Uingereza, bwana Toni
Uongozi wa moja ya kampuni kubwa ya kuchimba na kuuza almasi De Beers Group ambato ina asilimia 40% ya uchimbaji na uuzaji, imeziomba nchi amabazo ni wanunuzi na wanaosaidia kupatikana kwa almasi, zisaidie bara la Afrika, kwani ndiyo, bara pekee linalo toa almasi na madini mengine kwa wingi duniani.

3 comments:
Aksante kwa habari motomoto endelea na moto huo
Froma mpenda habari
Endelea vivyo hivyo bwana mkubwa,we like the news and the pictures are of a very good quality.
From Mpenda Franco Makiadi
kajumulo kazi nzuri lakini kiswahili bado sio safi na pia unaandika maneno kimakosa mara nyingi sana na pia jaribu kuyasoma kabla ya kuyaweka hapo juu.
Naamini utayajali haya maana ni ya maana kwani kuna baadhi ya watu wakiona makosa kila mara watakimbia maana makosa mengine yanabadili maana halisi na kuona mahali pengine ni tofauti na hapa
kaka fanya kweli acha bora liende.
Post a Comment