Wednesday, October 3, 2007

Mandela-Madiba ni mkarimu wa kuzaliwa

Kibarua cha Jose the special cha ungua moto.
Madhara ya vita ni mengi
Binti mmoja huko kaskazin mwa Uganda akiangalia kwa makini nini kinakuja, kwani eneo hili ni karibu na wale wapiganaji wanao ongozwa na Joseph Koni
Unajua vita hivi vimechukua miaka zaidi ya" ishirini"
Mali ya asili bado kupatiwa uvumbuzi.
Kulia ni marais wa Uganda Yoweri Museven, katikati Jakaya Kikwete, na Joseph Kabila, wakiwa pamoja kuongelea halia ya chi zao.
Hata vivyo mazungumzo kati ya Kinshasa na Kampala kujadili nani mwenye kumiliki sehemu yenye mfuta, kwenye ukingo wa ziwa Albert ambalo lipo mipakani mwa nchi hizi mbili hakuweza kufanyika, kwani wajumbe toka DRC hawakutokea kwenye mkutano huo.
Mola mbona hali hii ina tisha? DRC na Uganda tena.
Haya ni mapenzi ya kweli amini usiamini.
Ha wakina mama wawili wa Swaziland. Melinah na Jumaima, inasemekana bado wanalia na kuendeleza kilio cha mume wao, tangu mume huyu afariki miaka mitano iliyo pita, hawaruhusiwi kupika wala kutoka saa za hasubuhi Mmmmmmm, kizazi cha sasa tutaweza haya mapenzi? ya bi Melinah na Jumaima.
Familia ya Pinochet kuwa kizimbani.
Jaji wa mahakama nchini Chille imetoa amri yakuwa mke na watotowa rais wa zamani wa Chille bwana Agustine Pinochet wakamatwe.Hii ninakuja kufuataia kufunguliwa kesi za rushwa na unyanyaswaji wa watu wakati wa utawala wake.
Picha hii bwana Pinochet iliyo pigwa hivi karibuni.
Ulinzi wa Iraki joto ya jiwe.
Kampuni moja ya ulinzi iitwayo Blackwater,ambayo kwa sasa, iko chini ya uchunguzi, baada matukio ya kutupiana risasi, katika harakati za kulinda vingozi wanao saidia ujenzi wa nchi ya Iraki. Pichani mbele ni mlinzi , mmoja mwenye bundiki. Hawa ni watu wa kazi hawa taki mchezo.
Duu' mambo bado magumu Irak.
Wanajeshi wetu warudi haraka
Mgombea wa urais kupita chama Demokrasi nchini America (USA) amewalaumu wenzake kwa kushindwa kukubaliana kutao majeshi ya Amerika nchini Iraki. "Amesema umefika wakati wa majeshi hayo kurudi nyumbani na tumesubiri tumeshoka". Aliyaonge hayo alipo kuwa akihutubia katika kampeni Gorgetown University. "Kila mgombea urais ajapo na kuja na mpya"
Nukria kuharibiwa baada waasimu kuongea.
Viongozi wa Korea ya Kusini na Korea ya Kaskazini wanaonekana, wakiwa na tabasamu, baada ya kuku baliaba maadhi ya mamboa fulani, ambayo yatazifanay nchi hizi mbili kuishi kwa amani. Kama utakumbuka uhasama huu ulianza toka "enzi nani zaidi " kati ya NATO na USSR, hususani baada ya vita vikali kati yao. Kushota ni rais wa Korea ya kusini Roh Moo-hyun na rais wa Korea ya Kaskazini Kim Jong Il. Tunasubiri kwa hamu matokeo ya mkutano huo.
Darfu amani bado tete.
Magwiji wa uteteti wa amani duniani, wakiongozwa na mtetezi wa amani, na mshindi wa nobel aya Amani Duniani ,Askofu Emiriteus Desmond Tutu,wakijadili jinsigani ya kuwalainisha, wababe wa naolete utete wa amani nchini Sudani, wengine kama unavyojua, ukisema wapigania uhuru basi Babu Madiba huyo hapo mido na mwenzake Jimmy.Haya ngoja tusubiri kwani wahenga walisema "wakutanaoapo wazee basi hakiharibiki kitu"
Umkhulu-Babu Madiba ni mkarimu wa kuzaliwa.
Rais wa kwanza wa Jamuhuri ya Africa ya Kusini Nelson Mandela (Madiba) akiwakaribisha wana harakati wa kwanza kumvisiti.
Wakiongozwa na Sylvia Hill ,walipokuja kumtembelea babu, baada ya kuwa huru toka gerezani ambapo alifungwa kwa kutete waliowengi nchini mwake.mapema miaka ya tisini
Kama uatakumbuka madarasa, Sylivia Hill alikamatwa 1984, baada ya kungoza maandamano mbele ya ubalozi wa South Africa nchi US.
Jeshi la Kongo DRC kujimarisha zaidi.
Hapo zamaniwalisema panapo waume basi mtoto atumwi. Kikosi cha jeshi la Kongo Kinshasa kikila kwata tayari kwa kuwa fiti.
Hii inataokana na hali kutokuwashwali nchini DRC, hivyo lazima wawe tayari pindipo kipyenga kikilia.
Myanmar yashutumiwa kukiuka haki za binadamu
Mmoja wa waandamanaji nchini Myyanmar mikono kichwani kukinga nguvu za dola , lakini chombo hakina utu wala kusikiliza haki zao. Je Dunia ipo tayari kuwasaidia? Kwani inaaminika baada ya mwakilishai wa UN kuondoka mkongoto uliendelea kama kawaida.
Weeee' maafande na virungu vyaoo' mmmmmuh usi seme.
Hata hivyo hakia ya mtu aichukuliwi kwa virungu, naamini Baba Mola anawasiliza kilio chao.
Wanchi wa Sahara Magharibu waandamana.
Waandamanaji wa Sahara ya Magharibi wakidai haki zao hapo miaka ya hivi karibuni.
Ni hivi majuzuzi tu. UN chini ya katibu mpya Bwana Ban Ki-moon, amemchagua kamanda mwingine Bwana Zhao kulinda amani waishipo watu hawa. "Wat a lifu wizi auti UN?
Nani kasema jahazi huzama na kaptain Kupona?
Kapteni wa timu ya Taifa ya Uingereza na Chelsea John Terry akijaribu, kilinda uso, ili aongoze jahazi la timu yake Chelsea, kwani mpaka sasa sisi wapenzi wa " The Blue" bado hatujuiufanyeje baada ya Mr Special the only-Coach , Jose Morinho ,aliye waumiza vichwa wapenzi timu nyingine, kundoka ghafla. Mmmmmmmmuh' Terry, haya kazi unayao kaka, "Mola bariki the Blue"
Bingwa wa masumbwi akutana na mwenzake.
"Tulipo pambana 1975, ilikuwa kama tunakaribia kifo", Haya ni maneno ya The Legend Mohamed Ally.
Bingwa wa zamanimwa ndondi au mikono Mohamed Ally na Smikin- Joe Frazier, wakiwa pamoja kwe tafrija moja huko sehemu fulani huko US.
Vipi wa waonaje, wako fit heeh?
Ndomboloo ya konga roho za wapenzi wa soka.
Hapa si kama wana cheza ndomboro, bali ni hii ndiyo pasha moto ijulikanayo ka "Haka sitaili" kabla ya game na Wailes
Ninadhani kwa wale tulio wengi tunajua rugby nimchezo wa mibaba iliyo shiba,.Hata hivyo kwa kutoa burudani wamo. Wapenzi wa Minenguo hii ni sitaili Haka, kutokea mjini fiji.
Kweli waafrika Mola katubariki kwa mavitus mpaka Fiji. Wewe e tutane yango nayago,heee ndombooo ya solo.

No comments: