Wednesday, August 13, 2008

Urusi yasimamisha vita dhidi ya Georgia"Tumetimiza matakwa yetu serikali yadai"

Bingwa wa musiki wa soulo,atutoka" Wanamuziki wapigwa na mshituko".

Tennessee,Amerika - 13/08/08. Mwanamusiki bingwa wa musiki wa soulo, Isaak Heyis, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 65.
Mwanamusiki huyo alifariki dunia kutokana na ugonjwa wa kupooza, kwa mujibu wa mganga wake.
Mganga huyu, Mr Steve Shular,alisema Isaak Hayes, aliaanza kuugua mapema mwaka 2006.
Isaak Heyes, alishinda zawadi ya Oscar mwaka 1971 na mwaka 2002, alijumuishwa katika kundi la wanasanaa maarufu duniani lijulikanalo kama (US Rock and Roll Hall of Fame).
Mwanamusiki huyu ambaye alioa mara nne ameacha watoto 12.
Kufuatia kifo chake, wanamuziki wengi wamepigwa na mshituko mkubwa saana, hasa kwa mwanamusiki Gloria Gaynor na alisema ya kuwa jumuia nzima ya wanamuziki wa soul ilikuwa inamjua kwa umairi wake.
Mazishi ya marehemu Isaak Heyis yatafanyika Tennessee, misa ya kumwaga na kumwombea itafanyika katika kanisa la Hope Presbyterian kwenye kitongoji cha Cordova.
Picha hapo juu anaonekana marehemu Isaak Heyis, akiimba na kutumwiza wapenzi wake enzi ya uahai wake.
Picha ya pili anaonekana, marehemu Isaak Heyis, akiwa ameshikilia zawadi ya kujulikana kama mmoja ya wana sanaa maarufu duniani wakati wa enzi za uhai wake.
Mafua ya ndege yaibuka magharibi mwa Afrika"FAO ipo mbioni kukabili janga hili".
Lagos,Nigeria - 12/08/08. Wanasayansi nchini Nigeria, wamesema yakuwa wamegundua ya kuwa kumekuwepo na ugonjwa wa mafua ya ndege nchini humo.
Kwea mujibu wa wanasayansi, ugonjwa wa mafua ya ndege,umegunduliwa kuwepo katika majimbo ya Katsina na Kano.
Kwa kufuatia mfumuko huo wa ugonjwa wa mafua ya ndege,(FAO) Food and Agriculture Organisation, limesema ya kuwa,mpaka sasa ni vigumu kujua ni kwa kiasi gani ugonjwa huu umesambaa na umeibuka vipi katika Afrika, hata hivyo FAO imesema ipo mbioni kukabilina na janga hili.
Chini ni picha ya mkulima mmoja wakitembelea ndani ya shamba lake huku amefunika pua yake.
Picha ya chini,Mbuni ni ndege mkubwa kulikono wote , akiwa amekufa baada ya kukumbwa na ugonjwa wa mafua ya ndege.
Tawi la Al Qaeda kaskazini mwa Afrika la sema Mauritania ijiandae" Baada ya mapinduzi".
Nouakchott,Mauritania - 12/08/08. Kikundi ambacho ni tawi la kundi kubwa la Al-Qaeda, kilichopoo nchini Algeria, kimesema yakuwa mapinduzi yaliyo fanyika nchini Mauritania ni kinyume na yamesadidiwa na nchi za Ulaya Magharibi na Amerika.
Mauritania, nchi ambayo ilikuwa koloni la Kifaransa,imekuwa katika hali ya utata tangu ilipo pata uhuru.
Mauritani ni nchi yenye utajiri wa mafuta, dhahabu na chuma.
Mapinduzi hayo baridi, yalimtoa madarakani rais Sidi Mohamed Ould Cheikh Abdallah.
Picha hapo juu wanaonekan viongozi vinara wa kundi la Al-Qaeda, Osama Bin Laden kushoto na msaidizi wake, Imar Al Zawahiri walipo onekana kwa mara ya mwisho miaka ya nyuma, na kundi lao Al Qaeda limekuwa likisumbua vichwa vya jumuia ya kimataifa kwa muda mrefu.Picha ya chini ni ya bendera ya Mauritania,nchi ambayo wananchi wake wametakiwa kijiandaa na mapambano ya Al Qaeda baada ya mapinduzi yalioyo mngo'a rais Sidi Mohamed Ould Cheikh Abdallah.
Musharraf na wapinzani wavutana "Wapinzani wadai Musharraf ang'olewa".
Islamabad,Pakistan - 12/08/08. Viongozi wa cham cha upinzani nchini Pakistan, wamesema yakuwa inabidi rais, Pervez Musharraf, atolewe madarakani, kwa kushindwa kuwajibika ipasavyo.
Wakiyaongea hay mbele ya waandishi wa habari, alisema ya kuwa rais, Musharraf anatakiwa aonolewe madarakani kwa kukiuka sheria ya nchi na kushindwa kudhibiti mgogoro wa kisiasa ulipo nchini humo na ina bidi bunge ilfanye hivyo.
Hata hivyo, kwa upande waserikali, walikanusha , na kusema yakuwa haitawezekana kwa rais Pervez Musharraf, kutolewa madarakani n a nikitu ambacho hakitatoke.
Picha hapo juu, wanaonekana viongozi wa vyama vya upinzani Muslimu League N party bwana Nawazir Sharif kulia na kushoto ni, kiongozi wa Pakistani Peoples Party Asif Ali Zardari , wakiongea na wandishi wa habari kwa kutaka rais Musharraf atolewe ofisini.
Picha ya pili, anaonekana rais, Pervez Musharraf akisalimiana na baadhi ya watu wakati alipo tembelea katika moja maeneo yanafanyiwa ukarabati.
Picha ya chini, wanaonekana baadhi ya watu na wanachama wambao wanapendelea rais, Musharraf aendelee kuwa rais wa nchi yao.
Urusi yasimamisha vita dhidi ya Georgia"Tumetimiza matakwa yetu serikali yadai"
Moscow, Urusi - 12/08/08. Serilikali ya Urusi, ilitangaza rasmi ya kuwa itasimamisha mapigano ya kivita dhidi ya nchi ya Georgia.
Akiongea haya rais wa Urusi, Dmitri Medvedev, alisema yakuwa ameamuru majeshi kusimamisha mapigano, kwani Urusi, imeweza kutimiza matakwa yake, ya kuzikomboa yaye maeneo ambayo yalikuwa yamechkuliwa na wanajeshi wa Georgia.
Maeneo ambayo yalikuwa yanashikiliwa na wanajeshi wa Georgia, yanajulikana kama Ossetia na Abakhazia.
Na Wakati huo rais wa Urusi akitangaza haya, rais wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy alikuwa mbioni kujadili na viongozi wa pande zote ili kuleta amani katika eneo hilo.
Picha ya juu, anaonekana rais wa Urusi, Dmitri Medvedev,akiongea hivi karibuni kwenye katika moja ya mikutano iliyofanyika nchini humo.
Picha ya pili wanaonekana wanajeshi wakipigana wakati wa mapambano ambayo yamechukua muda wa siku tano.
Picha ya tatu inaonekana helkopta ya Urusi, ikitua katika moja maeneo ambayo vita vilikuwa vinaendea kabla ya kusimamishwa kwa vita dhidi ya nchi hizi mbili.
Chini anaonekana rais wa Georgia, Mikhael Saakhashvili,akijisugua kichwa, wakati akiongea na waandishi wa habari kuhusu hali halisi ya vita vya nchi yake dhidi ya Urusi.

10 comments:

Anonymous said...

Infatuation casinos? digging this immature [url=http://www.realcazinoz.com]casino[/url] wonderful and take up online casino games like slots, blackjack, roulette, baccarat and more at www.realcazinoz.com .
you can also into our whopper [url=http://freecasinogames2010.webs.com]casino[/url] spiritless counselling at http://freecasinogames2010.webs.com and glean mastery realized folding moolah !
another late-model [url=http://www.ttittancasino.com]casino spiele[/url] swindling is www.ttittancasino.com , in compensation german gamblers, cut back on resist in freed online casino bonus.

Anonymous said...

Biblia inasema: "Kwa wakati uliowekwa [mfalme wa kaskazini = Urusi] atarudi," (Danieli 11:29a) Hii pia ina maana ya kutengana wa Umoja wa Ulaya na NATO.

Danieli 11:29b,30a = Mathayo 24:7 = Ufunuo 6:4 = ulimwengu wa tatu vita.
"Upanga mkubwa" = silaha ya nyuklia – upanga.

Danieli 11:31-35 = Mathayo 24:15,21,22 = Ufunuo 6:9-11 = dhiki kubwa (na dhiki kuu) kwa makanisa madogo. (Angalia pia Ufunuo 11:2; Luka 21:24b)

"Chukizo la uharibifu" = "yule mnyama" = serikali ya ulimwengu. (Danieli 11:31; Ufunuo 13:1,2,7)

Danieli 11:40-43 = Mathayo 24:29 = Ufunuo 6:12 = ulimwengu wa nne vita. (Angalia pia Luka 21:25; Isaya 5:26-30; Danieli 7:11; Ufunuo 13:3; Ezekieli 32:2-16; Habakuki 1:5-17; Sefania 1:14-18, Yoeli 2:1-11).

Ewiak Ryszard

Anonymous said...

I like it when people get together and share thoughts.
Great site, continue the good work!

Also visit my weblog; microgamingcasinos.forumotion.com

Anonymous said...

Hi, everything is going nicely here and ofcourse every one is sharing data, that's actually excellent, keep up writing.

Here is my site: free spins for money
Also see my website - no deposit free spins casino bonus codes

Anonymous said...

Right now it appears like Expression Engine is the top blogging platform
out there right now. (from what I've read) Is that what you are using on your blog?

Also visit my blog post :: netent casino games

Anonymous said...

Hi there, I enjoy reading all of your article post. I wanted to write a little
comment to support you.

Check out my site - http://Netentcasinolist.Blogspot.com

Anonymous said...

Howdy! This blog post could not be written any better!
Going through this post reminds me of my previous roommate!

He always kept preaching about this. I'll send this article to him. Fairly certain he'll have a very good read.

Thanks for sharing!

my blog post - no deposit casino blog page

Anonymous said...

Do you have a spam issue on this blog; I also am a blogger, and I was wondering your situation; many of us have created some nice methods and we are looking to exchange techniques with
other folks, please shoot me an e-mail if interested.


Here is my blog post: gratis free spins vid registrering

Anonymous said...

top [url=http://www.xgambling.org/]casino bonus[/url] coincide the latest [url=http://www.casinolasvegass.com/]casino las vegas[/url] free no set aside bonus at the leading [url=http://www.baywatchcasino.com/]casino online
[/url].

Anonymous said...

[url=http://www.realcazinoz.com]casino[/url], also known as accepted casinos or Internet casinos, are online versions of routine ("buddy and mortar") casinos. Online casinos consign gamblers to ambitiousness and wager on casino games mean of the Internet.
Online casinos habitually make known cheeky odds and payback percentages that are comparable to land-based casinos. Some online casinos aver on higher payback percentages payment deficiency gismo games, and some talk known payout piece audits on their websites. Assuming that the online casino is using an aptly programmed unsystematic epitomize up generator, catalogue games like blackjack comprise an established congress edge. The payout scintilla as a replacement pro these games are established at closest the rules of the game.
Uncountable online casinos sublease or apprehension their software from companies like Microgaming, Realtime Gaming, Playtech, Worldwide Pastime Technology and CryptoLogic Inc.