Thursday, November 20, 2008

Matumaini ya kumpata, Baraka Obama, mwingine bara la Ulaya yapo"Asema mbuge"

Matumaini ya kumpata, Baraka Obama mwingine bara la Ulaya yapo"Asema mbunge".

Paris,Ufaransa-16/11/08. Kuchaguliwa kwa Baraka Obama kuwa rais wa Amerika, kumeleta hisia tofauti kati ya wakazi wa ishio katika bara la Ulaya.
Akichangia na kuelezea haya mbuge wa pekee mwafrika katika bunge la Italia, bwana Jean-Leonard Tauadi, alisema ya kuwa kuchaguliwa kwa, Baraka Obama ni mwamko na matumaini ya kuwa hakuna kinacho shindikana kwa kuzingatia hayo, basi ipo siki yaliyo tokea Amerika ya tatokea hapa Ulaya,japo si kwa kizazi chetu, ni matumaini kizazi cha wajukuu wetu kita yaona haya.
Picha ya hapo juu ni ya bendela ya Amerika , nchi ambayo katika historia ya nchi hiyo tangu kuundwa, wamemchagua rais mwenye asili ya Kiafrika.
Picha ya ya pili wanaonekana baadhi ya watu jijini Ufaransa, wakiangalia kwa makini muda mfupi kabla ya matokea ya uchaguzi wa rais kutangazwa.
Picha ya tatu ni ya bendera ya nchi wanachama wa Ulaya, ambapo wakazi wake wamekuwa na hisia tofauti kuhusu matokeo ya ya uchaguzi nchi Amerika yalivyo leta jasho jembamba kwa jamii tofauti.
Mwana wa Malkia wa Uingereza asherekea siku ya kuzaliwa kwake.
London,Uingereza-13/11/08.Malkia wa Uingereza, Malkia Elizabeth II, ameaandaa sherehe ya mwanae wa Prince Charles, ambaye amefikisha miaka 60 tangu kuzaliwa.
Sherehe hizo zilizofanyika kwenye makazi ya Malkia Backingham Palece, ziliuzuriwa na ndugu, jamamaa na marafiki wa familia ya Malkia.
Picha hapo juu anaonekana, Malkia Elizabeth II kushoto akiongea na mwanae Prince Charles kulia, wakielekea kwenye ukumbi uliofanyika sherehe ya kuzaliwa kwa Prince Charles.
Picha ya pili, anaonekana, Prince Charles ya kuwa yeye ni mtu wa watu, huwa wakati mwingine anakutana na marafiki zake na kupata moja moto moja baridi.
Picha ya tatu, ya wanaonekana, kushoto ni Prince Charles na mkewe Camilla Parker.

No comments: