Saturday, June 12, 2010

Afrika ya ikaribisha dunia"Soka, Kombe la dunia

Afrika ya ikaribisha dunia "Soka, Kombe la duni."

Johannesburg, Afrika ya Kusini-12/06/2010. Mashindano ya kugombea kombe la dunia la mpira wa miguu yameanza rasmi nchini Afrika ya Kusini.
Mashindano hayo mbayo kwa mara ya kwanza yana fanykia barani Afrika tangi kuanzishwa yarifunguliwa rasmi na raia wa Afrika ya Kusini Jakob Zuma na kuhudhuliwa na wageni waalikwa wakunchi,viongozi wa bara la Afrika na dunia nzima.
Picha hapo juu wanaonekana wachezaji wa timu ya taifa ya Afrika ya Kusini wakimenyana vikali na timu ya taifa ya Mexico katika mechi ya kwanza ufunguzi wa mashindano la kombe la dunia.
Picha ya pili wanaonekana rais wa FIFA Sept Platt na raia wa Afrika ya Kusini Jakob Zuma wakiwasalimia wananchi mara baada ya ufunguzi wa mashindano ya kombe la dunia.
Picha ya tatu wanaonekana maelfu ya watu walioudhulia kwenye sherehe za ufunguzi wa kombe la dunia jiji Johannesburg Afrika ya Kusini.
Picha ya nne anaonekana mmoja ya wanachi wa Afrika ya Kusini akiwa ameinyanyua juu bendera ya Afrika ya Kusini nchi ambayo kwa mara ya kwanza imekuwa mwenyeji wa mashindano ya kombe la dunia katika bara la Afrika.
Mchungaji haukumiwa kifungo cha maisha.
Helsink, Finland-13/06/2010. Mahakama nchini Finland imemkuta na hatia Francois Bazaramba kwa kuhusika na mauaji ya kimbari yaliyo tokea nchini Rwanda 1994 na kumuhukumu kifungo cha maisha.
Francoi Bazaramba 59, ambaye alikuwa mchungaji amekutwa na kosa la kushirikiana watu wa jamii ya Kihutu katika mauaji wakati akiwa kiongozi wa dini.
Hata hivyo Francoi alikanana mashitaka hao, na wakili wake amesema watakata rufaa.
Pichani hapo juu anaonekana Francois Bazaramba akiwa mahakamani akisikiliza hukumu ya kesi yake.

No comments: