Friday, June 4, 2010

Mafua ya nguruwe yaleta saga WHO

Mafua ya nguruwe yaleta saga WHO. London,Uingereza - 04/06/2010. Gazeti linalo toa ripoti za kiafya za binadamu nchini Uingereza limesama '' kunaukweli ya kuwa wataalamu wa liotoa habari za kuoenea kwa ugonjwa wa mafua ya nguruwe walizidisha vitisho katika kuelezea hatari ya ugonjwa huo.'' Kwa mijibu wa gazeti hilo lilisema ''yakuwa wataalamu hao walikuwa wanahisa katika uuzaji wa madaya ya kutibu na kukinga ugonjwa huo'' Ugonjwa huo unaojulikana kama H1N1 virus ulitishia dunia nzima hata kusababisha baadhi ya nchi kuingiwa na wasiwasi kwatumia pesa zaidi kununu madawa ya kutibu ugonjwa kwa wingi. Kuthibitisha hali hiyo kamati ya kiafya ya Ulaya melilaumu shirika la afya dunia WHO kwa kutofanya uhakiki wa habari wakati zilipo tolewa na wataalamu hao. Picha hapo juu wanaonekana badhi ya watu wakipata chanjo wakati wa kuvuma ugonjwa wa mafua ya nguruwe.

No comments: