Wednesday, June 23, 2010

Meli ya siraha yazuiliwa nchini Sypras.

Meli ya siraha yazuiliwa nchini Sypras. Nikosia,Syipras - 23/06/2010. Serikali ya Syipras imeizuia meli ijulikanayo kama Santiago ambayo inasadikiwa kubeba siraha kuelekea nchini Sudani. Waziri wa biashara Antonis Passchalides alisema, vifaa vilivyopo kwenye meli hii lazima vifanyiwe uhakiki. Uamuzi wa serikali ya Sypras kuzuia meli kufuatia vikwazo vilivyo wekwa zidi ya Sudan. Picha hapo juu inaonekana meli ambayo imezuiliwa nchini Sypras.

No comments: