Tuesday, August 3, 2010

Izrael na Lebanoni zatupiana sisasi.

Mkuu wa polisi ahukumiwa jela miaka 15.

Mahakama nchini Afrika ya Kusini imemuhukumu kifungo cha miaka 15 jela aliyekuwa mkuu wa polisi nchini Afrika ya Kusini baada ya kukutwa na hatia ya kupokea rushwa na zawadi kinyume cha sheria.. Jack Selebi ambaye amkuwa na hatia ya kuchukua rushwa aliwahi kuwa mkuu wa jeshi la polisi na hata kufanyakazi na Interpol. Picha hapo juu anaonekana aliyekuwa mkuu wa polisi nchini Afriak ya Kusini Jack Selebi akiwa kizimbani kuisikiliza hukumu ya kesi yake. Izrael na Lebanoni zatupiana risasi. Beiruti, Lebanon - 03/08/2010. Jeshi la Lebanoni na jeshi la Izrael wametupiana risasi na kusababisha majeruhi ya wanajeshi wanne wa Lebanoni na vifo vya watu watono mmoja wapao akiwemo mwandishi wa habari. Kwa mujibu wa habari zilizo patikana zinasema mashambulizi hayo yalianza wakati jeshi la Izrael lilipo kuwa lina jaribu kukata miti iliyopo mpakani na Lebanoni. Picha hapo juu wanaonekana wahudunu wa huduma ya kwanza wakimkimbiza mmoja wa majeruhi mara baada ya kujeruhiwa.

No comments: