Wednesday, August 11, 2010

Wanyarwanda wamchagua tena Paul Kagame

Wanyarwanda wa mchagua tena Paul Kagame.

Kigali, Rwanda - 11/09/2010. Matokeo ya uchaguzi nchini Rwanda yamempa ushindi mkubwa aliyekuwa rais wa Rwanda Paul Kagame.
Kwa mujibu wa habari zilizo patikana kutoka kwa kamati iliyosimamia uchaguzi huo ilisema "Paul Kagame alishinda kwa kupata wingi wa kura ziadi ya asilimia 90.
Poul Kagame ambaye aligombea uchaguzi wa rais kupitia chama cha (RPF- Rwanda Partiotic Front) na amekuwa kiongozi wake tangu 1994 baada kuchukua madaraka kwa kuiondoa serikali rais Juvenal Abyarimana ambayo ilisadikiwa ilisimamia mauaji ya kikabila yaliyotokea nchini humo.
Hata hivyo wagombea wavyama vya upinzani walidai yakuwa uchaguzi huo ulikuwa na mazingira magumu kwao.
Pichani anaonekana rais Paul Kagame akiongea na waandishi wa habari, mara baada ya matokeo ya uchaguzi kutangazwa.

1 comment:

Anonymous said...

Genial post and this post helped me alot in my college assignement. Gratefulness you as your information.