Friday, August 27, 2010

Kenya yazaliwa upya. Nairobi, Kenya 27/08/2010. Wananchi wa Kenya, leo hii wameshuhudia kutiwa sahii katiba mpaya ya nchi hiyo. Kwenye sherehe hiyo iliyo udhuliwa na viongozi na marais wa nchi jirani, rais wa Kenya Mwai Kibaki, aliapishwa tena ilikuiongoza Kenya chini ya katiba mpya. Kukubalika kwa mabadiliko ya katiba ya Kenya ni matokeo ya kura za maoni zilizo pigwa hapo awali na ambapo wananchi wa Kenya waliowengi walikubali katiba ya nchi ifanyiwe mabadiliko. Picha hpo juu anaonekana rais wa Kenya Mwai Kibaki, akinyanyua juu katiba mpya ya Kenya, mara baada ya kutia sahii kupitishwa kwa katiba hiyo mpya.

No comments: