Mahakama ya Hague yamtia hatiani Thomas Lubanga.
Lubanga anatarajiwa kuhukumiwa siku za karibuni, kwa mujibu wa wanasheria waliofatilia kesi hii wanasema " huenda akahukumiwa kifungo cha maisha"
Thomas Lubanga, amekuwa kiongozi wa kwanza kukutwa na hatia tangu koti hiyo iliyopo Netherlands Hague kuanzishwa miaka 10 iliyo pita.
Ikulu ya rais wa Somalia yashambuliwa.
Mogadishu, Somalia - 14/03/2012. Watu watatu watano wamefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa baada ya ya bomu kulipuka kwenye Ikuru ya rais yaliyopo mjini Mogadishu.
Kundi la Al-Shabab limekili kuhusika na "mlipuko huo na kuonya yakuwa milipuko na mashambulizi mengine yatafuata."
Al Shabab walifukuzwa katika maeneo ya jiji la Mogadishu baadaya ya majeshi ya umoja wa Afrika kwa kusaidiana na majeshi ya Somalia kuzidi nguvu kundi la hilo.
No comments:
Post a Comment