Hali ya usalama nchini Somalia yazidi kushutua dunia.
Mogadishu,Somalia - 01/09.2010. Wakazi wa mji wa Mogadishu wamekuwa katika hali ya wasiwasi tangu kundi la al-Shabaab kuaendelea kushambulia mji la Mogadishu
Kundi la al Shabaab lilitangaza hivi karibuni ya kuwa linaanza mashambulizi rasmi kushambulia majeshi yote ya kigeni ambayo yamo nchini humo.
Picha hapo juu wanaonekana baadhi ya watu wakiwa wanamsaidia mama mmoja ambaye alipata mshituko mara baada ya kundi la al Shabaab kuanzisha mashambulizi.
Wednesday, September 1, 2010
Hali ya usalama nchini Somalia yazidi kushutua dunia
Posted by
Kibatala
at
Wednesday, September 01, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment