Kuanguka kwa ndege ya Malasyia kwazua msuguano wa kisiasa.
Ndege ya Malasyia boeing 777 iliyokuwa ikitokea Amsterdam kuelekea Malasyia ilitunguliwa na bomu katika jimbo la Donetsk ambalo linashikiliwa na kundi linalo wapinzani wa serikali ya Kiev, nao ambao wamekanusha kuhusika na kuangushwa kwa ndege hiyo na kudai kuwa ndege hiyo iliangushwa na jeshi la serikali.
Akiongea Lavrov alisema " Ikiwa Kiev haitabadirisha mwenendo wake wa kufanya mashambuli kwenye maeneo ya Urusi, basi Urusi inauwezo wa kushambulia na kuharibu maeno ambayo yanatumika kwa kufanya mashambuli yanayo milikiwa na serikali ya Kiev."
Urusi haina mpango wa kuzuia box linalotumika kwa kuhifadhia habari lilipo kwa sasa kwenye mikono ya kundi linalo pingana na serikali ya Kiev na wale wote wanao fikiria au kusema hivyo nawashauri wangoje uchunguzi ufanyike kwanza." Aliongezea waziri Lavrov
Hali ya kuvutana kimaneneo imezuka tena upya kutoka nchi za Magharini kwa kusema kuwa "Urusi lazima iwekee mkazo katika suala la amani nchi Ukraine, kwani inauwezo wa kufanya hivyo.
No comments:
Post a Comment