Saturday, November 28, 2009

Mvutano wa kisiasa nchini Pakistan kurudia tene ?

Mvutanao wa kisiasa nchini Pakistan kurudia tena? Karachi. Pakistan - 28/11/09. Mswada wa kisheria ambao ulikuwa umewekwa kwa ajili ya kumlinda rais wa Pakistan kufuatia shutuma za rushwa umekweisha hivi karibuni. Kwa mujibu wa habari zilizo patikana kutoka Pakistan, zinasema rais, Asif Ali Zardari huenda akawa na wakati mgumu wa kisiasa katika uongozi wake. Wachunguzi wa mambo ya siasa za Pakistan, wanasema huenda Pakistan, ikakumbwa na mzozo wa kisiasa ambao ulikuwepo wakati wa rais Pervez Musharraf. Picha hapo juu anaonekana, rais wa Pakistan, Asif Ali Zardari akiongea hivi karibuni na waandishi wa habari.

No comments: