Monday, May 17, 2010

Iran yasahini mkataba na kuruhusu madini kinyuklia kurutubishwa Uturuki.

Iran yasahini mkataba na kuruhusu madini kinyuklia kurutubishwa Uturuki.

Tehran, Iran 17/05/2010. Ssrikali ya Iran imekubali na kutia sahii mkataba wa kusafirisha madini ya ambayo yanatumika kuzalisha na kurutubisha madini ya nyuklia kupelekwa nchini Uturuki kwa uzalishaji wa madini ya nyuklia.
Mkataba huo ambao ulishuhudiwa na viongozi wa Brazil na Uturuki.
Hata hivyo Amerika na nchini za Ulaya Magharibi zikiongozwa na Uingereza na Ufaransa zinasema yakuwa mkataba huo lazima usimamiwe na shirika la IAEA - International Atomic Energy Agency.
Picha hapo juu wanaonekana viongozi wa Uturuki kulia Recep Tayyip Erdogan,katikati ni rais wa Iran Mahmoud Ahmadinejad na rais wa Brazil kulia Lula Inacio da Silva wakati walipo kutana nchini Iran.

No comments: