Izrael yasimamisha meli za misaada.

Tel-Aviv, Izrael- 31/05/2010. Makomando wa Kiizrael wamesimamisha meli iliyo beba misaada ambayo ilikuwa ikielekea kwenye Ukanda wa Gaza.
Katika harakati za kuizuia masafara wa meli Freedom Flotilla, watu wapatao kumi na tisa wamefariki dunia.
Kufuatia tukio hilo nchi nyingi zike kiaani kitendo hicho kwa kuitaka serikali ya Izrael itoe maelezo kwa undani kisa cha tukio hilo.
Picha hapo juu wanaonekana baadhi ya wauguzi wa jeshi la Izrael wakiwa wanamshusha mmoja wa majeruhi wakati wa kuzizuia meli ambazo zilikuwa zikielekea Ukanda wa Gaza.
Picha ya pili hapo juu wanaonekena baadhi ya wapiganaji wa Izrael wakiwa wanakagua meli ambayo waliisimamisha ililp kuwa ikielekea Ukanada wa gaza.
China yaingilia kati kuleta amani kwa Wakorea

Hata hivyo serikali ya Korea ya Kaskazini ilikana kufanya kitendo hicho.
Picha hapo juu wanaonekana wanajeshi wa waliopo katika mpaka unao tenganisha Korea ya Kaskazini na Korea ya Kusini wakiwa kazini kulinda mipaka yao.
No comments:
Post a Comment