Cristiano Ronaldo atunzwa mpira wa dhahabu kwa mara ya pili.
Cristiano Ronaldo 28, amechaguliwa kwa kura 1,365 na kuwashinda wachezaji wenzake wawili Lionel Messi 1,205 wa timu ya Barcelona.

Na Frank Ribery 1,127 wa Buyen Munich ambao walifikia fainali katika uchaguzi huo.
Akiongea baada ya kuchaguliwa kuwa mchezaji bora wa dunia wa mwaka 2013, Cristiano Ronaldo alisema, " sina cha kusema, na nawashukuru wachezaji wenzangu, uongozi kwa jumla, kwani kupata tunzo hili siyo rahisi."
No comments:
Post a Comment