Chaji za simu kuwa za aina moja kiviwango.
Brussels, Ubeligiji - 29/06/09. Kampuni zilazo shughulikia, utengenezaji wa simu, zimekubaliana kwa pamoja kuanza kutengeneza chaji za aina moja, kwa ajili ya matumizi ya simu zote.
Kwa mujibu wa habari kutoka ndani ya ofisi inayaoshughulikia, maswala ya mawasialiano katika nchi za jumuia ya Ulaya, zimesema ya kuwa kampuni za Nokia ,Motorola, Sumsung, Sony Ericsson., Apple,na LG, ambazo zina tengeneza simu na kutukiwa na wakazi wa Ulaya, zimekubaliana na kamati ya mawasiliano kwa kukubaliana kutengeneza chaji zitakazo tumika kwa kiwango kimoja.
Kwa mujibu, wa habari hizi , kuanza kutumika kwa chaji hizi mpya, kuaanza mapema mwakani.
Picha hpo juu, zimnaonekana, aina tofauti za chaji , ambazo hutumika kwa simu tofauti,na huwa zinaleta matatizo kwa watumiaji wa simu katika nchi Ulaya.
Millionea ahukumiwa kwenda jera miaka 13 nchini Urussi.
Moscow, Urussi, -29/06/09. Mahakama mjini Moscow, imemuhukumu, milionea Boris Berezovsky kwenda jela miaka 13, baada ya kukutwa na hatia ya kulaghai kwa kujipatia kiasi cha $million kutoka kwa kampuni ya Avtovaz.
Boris Berezovsky,alihukumiwa, wakati yeyemwenyewe hakuwepo mahakamani.
Mtuhumiwa huyo, Boris Berezovsky, anaishi ukimbizini nchi Uingereza.
Picha hapo juu, anaonekana, Boris Berezovsky,akiingia ndani ya gari, ambapo kuonekana kwake huwa nadra saana.
Tehran, Iran - 29/06/09. Kamati inayosimamia uchaguzi nchini Iran, imetoa matokeo ya kura zilizo hesabiwa upya na kusema ya kuwa rais, Mahmoud Ahmadinejad, mchaguliwa, ameshinda kwa kura nyingi na kusisitiza ya kuwa hata kura ambazo zimehesabiwa hivi sasa bado zina mpa kura nyingi rais.
Honduras,Tegucigalpa - 29/06/09.Rais mpya aliyeapishwa nchini Honduras, Roberto Micheletti, kuchukua nafasi ya rais, Manuel Zelaya, ambaye yupo ukimbizini Kosta Rica.
New York, Amerika - 29/06/09. Mahakama ya jijini, New York , imemuhukumu miaka 150 kwenda jela,Bernard Madoff,aliyekuwa mwenyekitia wa Nasdaq soko la wawekezaji na wabadishaji lililopo jijini New York.
No comments:
Post a Comment