Wednesday, March 23, 2011

Jerusalem ya kutwa na mlipuko wa bomu.

Jerusalemu ya kutwa na mlipuko wa bomu.

Jerusalem, Izrael 23/03/2011. Mlipuko wa bomu umetokea katika jiji la Jerusalem kwenye maeneo ya al Quads.
Msemaji wa polisi alisema " mlipuko huo ulisababishwa na bomu lenye uzito wa kati ya kili 1-2 na ulipakiwa katika sanduku dogo."
Mlipuko huo umesababisha watu wapatao 30 kujeruhiwa na mtu mmoja kupoteza maisha.
Waziri mkuu wa Benyamin Netanyahu amelaani kitendo hicho na kukatiza safari yake ya kiserikali nchini Urussi.

No comments: