Tuesday, March 29, 2011

Viongozi wakutana kujadili hali halisi ya Libya.

Viongozi wakutana kujadili hali halisi ya Libya.

London, Uingereza - 29/03/2011. Viongozi wa nchi za jumuia ya NATO na washiriki wake wanakutana jijini London ili kujadili hali halisi nchini Libya.
Akifungua mkutano huo, waziri mkuu wa Uingereza David Cameroon alisema " tumekutana hapa ili kusaidia nia ya watu wa Libya na ambao wanataka kujenga nchi yao bila vitisho na kuhakikisha lengo lao linafanikiwa."
Mkutano huo ambao utakuwa na lengo la kupanga na tutathmini hali ya kisiasa nchini humo pindipo mageuzi ya takapo fanikiwa nchini Libya.

1 comment:

yak kate said...

hello, i am young pretty single girl,i am caring,loving,affectionate,compassionate and always ready for a new adventure.contact me by email : yakkate@yahoo.com one love, kate.