Saturday, March 5, 2011

Waganda waombeleza kutokwa na kiongozi wao.

Waganda waombeleza kutokwa na kiongozi wao

Kampala Uganda - 05/03/2011. Aliye kuwa rais wa Uganda kwa muda wa siku tatu amefariki dunia baada ya kuungua kwa muda mfupi.
Walter Ochora Odoch ambaye alikuwa mmoja wa wamajeshi walio ongoza mapinduzi ya kumng'oa madarakani hayati rais wa Uganda Milton Obote.
Akiwa na cheo cha Kanal, Walter Ochora alikuwa kiongozi wa mstari wa mbele kuleta amani katika maeneo ya kaskazini mwa Uganda na hasa aliopo ongozi katika mazungumzo na mpinzani wa serikali ya Uganda Joseph Kony
Marehemu Walter Ochora ameshe wahi kushika nyazifa mbalimbali za serikali enzi za uhai wake.
Jeshi la serikali la Libya kuanza mashambulizi zidi ya wapinzani.
Tripol, Libya - 05/03/2011. Jeshi la serikali ya Libya limeanza mashambulizi zidi ya makundi ya wapinzani ambayo yanapinga serikali.
Mapigano ya kuipinga serikali ya Libya inayo ongozwa na Muammar Gaddafi yalianza mara baada ya kiongozi huyo kukutaa kutoka madarakani.
Kwa mujibu wa habari zilizo patikana zinasema " jeshi linalo muunga mkono Muammar Gaddafi limefanikiwa kukamata baadhi ya maaeneo ambayo yalikuwa mikononi mwa makundi ya upinzani.
Chamzo cha kutaka mapinduzi dhizi ya serikali ya Libya yalianzia katika mji wa Benghazi na kuenea sehemu tofauti nchini LIbya.

No comments: