Monday, March 14, 2011

Saudu na washirki wake wavamia Bahrain.

Saudia na washiriki wake wavamia Bahrain.

Manama, Bahrain - 14/03/2011. Mamia ya wanajeshi na askari wa nchi jumuia Gulfu wameingia nchini Bahrain ilikusaidia serikali ya nchi hiyo.
Uamuzi huo wa jumuia ya nchi za Gulfu ulikuja baada ya serikali ya Bahrain kuomba msaada ili kupambana na waandamanaji ambao wanataka mageuzi ya kisiasa.
Uamuzi huo wa kuvamia Bahrain umelaumiwa na wanasiasa na shirika la kutetea haki za binandamu na kutaka umoja wa matifa uingilie kati.
Japan yakumbwa na tetemeko la ardhi na tsunami.
Tokyo, Japan 14/03/2011. Wanachi wa Japan wapo katika hali mshtuko baada ya tetemeko la ardhi kutokea na kusababisha tsunami.
Tsunami hiyo ilisababisha maafa makubwa na inasadikiwa watu wapatao elfu kumi na tano wamepoteza maisha yao kwa kuzingatia huaribifu uliofanywa na tsunami kuvamia na kuaribu makazi ya watu na kuleta hasara ya zidi ya mabilion ya pesa.
Kufuatia tsunami hiyo ambayo ilisababisha milipuko katika visima vya mitambo ya nyuklia.

No comments: