Zurich, Switzaland - 30/05/2011 Rais wa shirikisho la mchezo wa mpira wa miguu duniani FIFA, amekataa ya kuwa shirikisho hilo lipo na mvutano ndani ya uongozi wake.
Sepp Blatter, alisema "shirikisho hilo halina mvutano na matatizo yalito tokea ni kutokana na mlolongo wa shutuma ya kuwa ndani ya shirikisho hilo kuana milungura na rushwa ambazo zimefanyika na matatizo yaho ni ya muda yatatafutiwa uvunbuzi."
Rais huyo wa FIFA anatarajiwa kuwa mgombea pekee wa kiti cha urais baada ya mpinzani wake Mohamed bin Hammam kujitoa kutokana na shutuma hizo za rushwa.
Rais wa Afrika ya Kusini kutafuta suruhisho kati ya Walibya.

Kwa mujibu wa habari kutoka ofoce ya rais zinasema, "rais Jokob Zuma atakuwa nchini Libya ili kuongea na kujadiliana na kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi ili kusimamisha mapigano.
hata hivyo kundi la upinzani lenye makao yake makuu Benghazi limesma" inaelekea kuwasili kwa rais wa Afrika ya Kusini kunaleta utata, kwani mpaka sasa hakuna dalili za au amelezo ya kuwa Muammar Gaddafi atatoka madarakani na kuondoka.".
Kuwasili kwa rais wa Afriaka ya Kusini nchi Libya kunatazamiwa kuleta maono tofauti ambayo huenda ya leta mabadiliko katika kampeni nzima ya kidemokrasi nchini Libya
No comments:
Post a Comment