Mganga aliyekuwa akimuhudumia Michael Jackoson akutwa na makosa.

Los Angeles, Marekani - 07/11/2011. Mganga ambaye alikuwa anamuhudumia bingwa wa musiki wa pops amekutwa na makosa ya kumwua bingwa huyo wa muziki bila kukusudia 25. June,2009.
Dr Conrad Murray, ambaye alikuwa ndiye aliye kuwa anamwangalia kiafya bingwa huyo wa musiki wa pops Michael Jackson, alikutwa na makosa hayo na mahakama ya jiji la Los Angeles na hukumu ya kesi yake itafanyika 28/11/2011.
Michael Jackson, ambaye alifariki kutokana na dawa alizo meza chini ya uandishi na usimamizi wa Dr Conrad Murray.
Kifo cha Michael kilisitua na kuleta mshituko dunia nzima hasa kwa wapenzi wake wa musiki.
No comments:
Post a Comment