Bisheni mtafunguliwa,Tafuteni mtapata,Ombeni mtapewa,"Yathibitishwa na Kaka".


Kaka ambaye ameshashinda zawadi ya mchezaji bora wa Ulaya, alichaguliwa kwa kuwapita wapinzani wake Messi wa Argentina na Ronaldo wa Ureno.
Kaka ambaye amekuwa mchezaji bora wa mashindano ya kombe ya klabu bingwa duniani yaliyo fanyika hivi karibuni nchini Japan- Yokohama, na kuingoza timu yeke kushinda kombe hilo kwa kuifunga Boca Junior ya Argentina bao 4 kwa 2.
Akipokea zawadi hii, Kaka alisema ilikuwa akiomba Mungu amtimizie ndoto yake ya kuchezea timu ya Sao Poul na timu ya taifa ya Brazil mechi moja tu, na leo Mungu ameniwezesha kufanikisha haya. Alimalizia kwa kusema Mungu ni Mkubwa na anakupa anavyotaka.
Pichani anaonekana Kaka, akishangilia kuonyesha mikono juu kwa Mola,akiwa ndani ya jezi ya timu yake ya taifa, picha nyingine anaonekana akionyesha mikono juu kumshukuru Mungu baada ya kufanya mavitus yake.
Chini wanaoneka wachezaji bora wa dunia msimu wa mwaka 2006 na msimu wa 2007, wakishangilia na kupongezana baada ya timu yao ya taifa ya Brazil kushinda moja ya mechi walizo cheza hivi karibuni.
Sheri ya mkumba na kumpitia kijukuu cha waziri mkuu wa Uingereza.

Kijukuu huyu kwa jina Nicholas Jake Barton mwenye miaka 34 , alikutwa na madawa haya ya kulevya aina ya Ekstasi kama vidonge 250,000, zenye thamani ya $USdolla 8.9 million.
Kijukuu huyu alikili makosa na kupata hukumu hii hivi karibuni na huenda akafikiriwa kutoka baada ya kukaa jela miezi 20, kwa mujibu wa jaji Colin Charteri.
Pichani hapo juu, anekana waziri mkuu wa zamani bwana Winston Churchill enzi hizo alipo kuwa kama waziri mkuu.
Mama asilia achukiapo huwa anamadhara makubwa kwa jamii."Wahenga walisema"

Wati huu huo, nchini Uturuki kumetokea tetemeko la ardhi lenye nguvu kiasi cha magnitude 5.3, kwenye mji wa Bala ulipo km 70 ya Ankara.
Hata hivyo hakuna huaribifu mkubwa uliotokea, kulingana na tetemeko la ardhi, lililo tokea mwaka 1999 ambapo watu wasio pungua 18,000 walipoteza maisha yao.
Pichani wanaonekana polisi wakisaidia kutoa vitu kwenye nyumba moja baada ya kukumbwa na tetemeko hili.
Picha nyingine anaonekana mwana mama, akiangalia kwa uchungu, jinsi gani tetemeko lilivyo haribu makazi yake.
Tulishirikiana na mashushu waserikali kupata habari nyeti wapi walipo.


Akithibitisha haya msemaji mmoja wa serikali ya Amerika Dana Perino, alikubali ya kuwa Amerika ina huusiano wa kishushu na Uturuki.
Hapo juu zinaonekana ndege za jeshi la Uturuki, zikiwa hewani kwenye anga la Iraki, baada ya kumaliza kufanya mavitus yake.
Picha nyingine wanaonekana wanajeshi wa Uturuki wakiwa wanaangalia nini kitacheza au kutikisika na kitendo kitakacho fuata ni kukiondoa.
1 comment:
Obat Penggemuk Badan
Obat Penghilang Tato
Celana Hernia
Crytal x
Selaput Dara Buatan
Alat Pembesar Payudara
Obat Perontok Bulu
Obat Ambeien
Pemutih Selangkangan
Obat Penumbuh Rambut
Cream Pemutih Wajah Aman
Cream Pemutih Wajah
Pemutih Wajah Aman
Obat Pemutih Kulit
Cream Pemutih Kulit
Pemutih Badan Alami
Jual Perangsang Cream
Obat Perangsang Wanita
Obat Perangsang Alami
Obat Perangsang Cream
Perangsang Wanita Alami
Jual Obat Perangsang
Permen Perangsang Alami
Post a Comment