Saturday, September 11, 2010

Waamerika wawakumbuka waliopoteza maisha Septemba 11

Waamerika wawakumbuka waliopeteza maisha Septemba 11.

New York, Amerika - 11/09/2010. Wananchi wa Amerika leo wamekusanyika jijini New York na Washington na kufanya maombi ya kuwakumbuka watu wote walio uwawa wakati wa mashambulizi ya kigaidi yaliyo fanywa na kundi la Alqaeda miaka tisa ilyo pita.
Picha hpo juu inaonekana moja ya ndege ikielekea kulipua jengo maarufu lililo kuwa linajulikana kama Trade Centre.
Picha ya pili ni ya eneo ambalo majengo yaliyo angushwa baada ya mashambuli ya Alqaeda, yakionekana kwa juu.
Picha ya tatu wanaonekana rais wa Amerika Baraka Obama na mkewe Michelle Obama wakiwa wamesimama kuwakumbuka wale wote walio poteza maisha yao wakati wa mashambulizi ya Septemba 11 2010.
Serikali ya JD Kongo yapiga marufuku uchimbaji haramu wa madini.
Kinshasa, JDK- 11/09/2010. Rais wa Kongo (JDK) amepiga marufuku uchimbaji wa madini yaiona yote kwenye majimbo matatu likiwemo jimbo la Kivu ya Kusini.
Rais Joseph Kabila, alitoa amri hiyo mapema alipo tembelea mjini wa Mashariki wa wa Walikale, mji ambao unashutumiwa kwa kuongoza matendo ya ubakaji wa wanawake, kwa mujibu wa UN repoti.
Picha hapo juu wanaonekana baadhi ya vijana wakiwa wamebeba siraha amabzo hununliwa baada ya uuzaji haramu wa madini yanayo chimbwa katika maeneo yaliyo pigwa marufuku.

No comments: