Tuesday, September 7, 2010

Bi, Julia Gillard kuiongoza Australia.

Bi, Julia Gillard kuiongoza Australia.

Sydney, Australia - 07/09/2010. Wanchi wa Australia wataendelea kuongozwa na Bi, Julia Gillard baada ya kuungwa mkono na vyama vingine.
Bi, Julia Gillard atakuwa waziri mkuu wa Australia baada ya uchaguzi mku ulio fanyika mwisho wa mwezi wa nane mwaka huu chni ya chama cha Labor Party.
Picha hapo juu anaonekana, Bi Jullia Gillard akiongea wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu.

No comments: