Rais Robert Mugabe ataka Afrika ipewe kiti cha kudumu.
UN, New York 27/09/2010. Rais wa Zimbabwe ametaka bara la Afrika lipewe kiti katika baraza la usalama la umoja wa Mataifa.cha kudumu
Rais Robert Mugabe alisema "ni kitu kisichokubalika na wala kueleweka kwa bara la Afrika kuwa nara pekee lisilokuwa na kiti cha kudumu katika baraza la usalama la umoja wa matifa na ihii inaleta kutokuwa na usawa kihistoria"
Kamati ya usalama ya umoja wa Mataifa ina wakilishwa na Uingereza, Marekani, China, Urussi,France na wawakilishi kumi ambao uchaguliwa kila baada ya miaka miwili na watano kubadilishwa kila mwaka.
Picha hapo juu anaonekana rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe akihutubia kwenye mkutano wa umoja wa mataifa katika kikao cha 65 cha umoja huo wa mataifa 2010.
Serikali ya Ufaransa ya haidi kuwaokoa raia wake waliotekwa nyara.
Bamako, Mali - 27/09/2010. Serikali ya Ufaransa iko mbioni iki kuwaokoa raia wa Ufaransa ambao wametekwa nyara na kundi la Maghreb ambao linashirikiana na kundi la Alqaeda.
Kwa mujibu wa msemaji wa ofisi ya rais alisema" tunaamimini ya kuwa raia waliotekwa na kundi hilo bado wazima na niwajibu wa serikali kuokoa maisha ya raia wake"
Pichani anaonekana rais wa Ufaransa ambaye serikali yake inafanya kila mbinu kuwaokoa raia wake waliotekwa nyara na kundi la Maghreb.

No comments:
Post a Comment