Monday, February 28, 2011

Brussels, Ubeligiji - Jumuia ya Ulaya imekubaliana kwa pamoja kumwekea vikwazo kiongozi wa Libya kufuatia matukio ya nayo endelea kutokana na maandamano ya kupinga uongozi wa serikali.
Vikwazo hivyo vilivyo pitishwa ni pamoja na ununuzi wa siraha, kuzuiliwa kusafiri, na pesa zote ambazo zilikuwa zimewekwezwa na familia yake.
Serikali ya Misri ya mzuai Hosni Mubaraka na familia yake kusafiri.
Kairo, Misri - 28/02/2011. Serikali ya Misri imezua familia ya rais wa zamani wa Misri kusafiri nje ya nchi kufuatia uchunguzi unaoendelea.
Akiongea mbele ya waandishi wa habari msemaji wa mwanasheria mkuu wa serikali Abel el Saeed alisema " serikali imeamua kumzuia Hosni Mubaraka kutoka nje ya nchi yeye na familia yake kufuatia uchunguzi dhidi ya yake.
Rais Hosni Mubaraka, alitolewa madarakani baada ya wanachi wa Misri kuandamana kumtaka atoke madarakani kutokana na kutoridhishwa na uongozi wake wa miaka 32.
BMW na Citreon kuunangana kibiashara.
Geneva, Uswiss - 28/02/2011. Makampuni ya magari ya BMW na Peugeot Cirtoen yamekubaliana kuungana kibiashara ili kutengeneza aina mpya ya gari itakayo endana na teknolojia mpya.
Akongea na waandishi wa habari mwenyekiti wa PSA Peugeot Citreon Phillipe Varin alisema " huu ni mwanzo na muungano huu utaiwezesha jumuia ya Ulaya kutengeneza magari ya kisasa ambayo yataendana na teknologiajia mpya."
Utengenezaji wa magari hayo ambayo yatajulikana kama magari ya Hybrid yata leta ajira kwa watu wapatao 400.

No comments: