Ban Ki-moon achaguliwa tena kwa muhula wapili.

New York, Marekani - 22/06/2011. Katibu mkuu wa umoja wa mataifa amechaguliwa te na kwa mara nyingine kuwa katibu mkuu na wajumbe wa umoja wa mataifa.
Ban Ki-moon, ambaye alitangaza rasmi wiki mbili zilizo pita kutaka kuendelea kuwa katibu mkuu wa umoja wa mataifa baada ya ya muhula wake kuisha mwaka huu,
Katibu alipata kura 192 za wajumbe wa umoja wa mataifa ambazo zilimwezesha kuchaguliwa tena kuwa katibu mkuu kwa muhula wa pili utakao anza mwaka 2012 .
Ban Ki-moon 67 alikuwa mgombea pekee katika kiti hicho cha ukatibu mkuu wa umoja wa mataifa.
Silvio Berlusconi ashinda kwa mara nyingine kura za maoni.
Silvio Berlusconi ambaye alishinda kwa kupata kura za maoni 317 kwa 293.
Hata hivyo waziri mkuu Berlusconi anakabiliwa na wakati mgumu, kibinafsi kusafisha jina lake katika milango na maswala ya kisiasi kutokana na kashfa zinazo muandama.
No comments:
Post a Comment