Mahakama ya Hague yataka Muammar Gaddafi akamatwe.

Jaji wa Sanj Mmmasenono Monageng, alitangaza ruhusa hiyo kwa kusema " kutokana na ushahidi uliyo tolewa na mwanasheria mkuu wa mahakama hiyo ya kimataifa Louis Moreno-Ocampo zimeonyesha ushahidi wakutosha yakuwa kiongozi huyo wa Libya Muammar Gaddafi, mtoto wake Seif al Islam na afisa mkuu wa usalama wa taifa Abdullah Senussi wamahusika katika kukiuka haki za binadamu na hivvyo lazima wakamatwe."
Hata hivyo serikali ya Libya imesema haifanya makos hayo yanayodaiwa na makosa hayo ni ya jeshi la NATO.
No comments:
Post a Comment