Friday, June 10, 2011

Waziri wa ulinzi wa Amerika, alezea wasiwa wake juu ya NATO.

Taasisi yaonya kuhuku uuzwaji wa Ardhi barani Afrika.
Oakland,New-Zealad 10/06/2011. Taasisi ya uchunguzi wa iliyopo nchini New-Zealand, emetoa repoti na kusema shirika la fedha la lijulikanalo kama HEDGE FUND, limekuwa likinunua ardhi katika bara la Afrika kwa njia ambazo hazistahilina, na mpaka sasa imesha nunua ardhi yenye ukubwa mita miasita million katika ba
ra la Afrika.
Repoti ilyotolewa na Oakland Institute inasema Hedge fu
nd imekuwaikinunua ardhi kupitia kwa viongozi wala rushwa na hata wakati mwingine kuwarubuni machifu na viongozi wa vijiji kukubali kuuza ardhi kwa kutiliana mikataba inaruhusu kwa ardhi zao kutumika kulimia biofuel mazao mafutana na maua. Na nchi ambazo zimetajwa katika repori hiyo ni Ethiopia, Sudani ya Kusini, Mali,Sierra Leone na Tanzania.
Kwa mujibu wa ripoti hiyo inasema iliwa hali hii itaendelea basi hali ya upatikanaji wa chakula utakuwa mgumu hasa katika nchi hizo na dunia kwa ujumla.
Waziri wa ulinzi wa Amerika, alezea wasiwa wake juu ya NATO.
Brussel, Ubeligiji -10/06/2011.Serikali ya Amerika imelezea wasiwasi mkubwa ambo huenda kuleta utata kati ya nchi wanachama wa NATO.
Akiongea wakati wa mkutano wa maswala ya kiulinzi ambao umeandaliwa ili kuangalia, na kutathmini hali ya kiulinzi kati ya nchi wanachama, waziri a mambo ya nje wa Marekani Robert Gate alisema "kutokuwepo na msukumo na nia katika kuchangia hasa katika maswala ya kivita kwa baadhi ya nchi wanachama kunaleta wasiwasi mkubwa hasa kwa kizazi kijacho cha nchi wanachama wa NATO."
Akiendelea kusisitiza " kutokuwepo na ukaribu wa ukachero na uchache wa vifaa vya kiulinzi lazima yafanyiwe mabadiko."
Waziri Robert Gate, ambaye anatarajiwa kujiudhulu kutoka madarakani hivi karibuni, ameyasemahayo wakati serikali ya Marekani ikiwa nafikilia njia mbadala ya matumizi ya kijeshi.

No comments: